Marekani, Ulaya Wasusia Kuapishwa Dr. Shein

Marekani, Ulaya Wasusia Kuapishwa Dr. Shein

Binafsi sishabikiii sana hawa wanaojiita wakubwa. Sisi kama takfa tufanye yetu
Ukuu wa mkoa unakufanya usione kabisa shida za wananchi. Poa kumbuka kila mwanchi wa tabaka la chini anateseka huku nyie mkigawiana vyeo tu.
 
Binafsi sishabikiii sana hawa wanaojiita wakubwa. Sisi kama takfa tufanye yetu
Ukuu wa mkoa unakufanya usione kabisa shida za wananchi. Poa kumbuka kila mwanchi wa tabaka la chini anateseka huku nyie mkigawiana vyeo tu.
 
Mi nafikiri hao EU wazidishe kibano labda tutajifunza kuwa kama wastaarabu
 
Kwani ni Rais wa marekani ? mbona Obama alipoapishwa Magufuri hakuhudhuria ?
 
wakisusa shauri yao...kwanza hatuwafagilii kwani ndio chanzo cha kututia umasikini kwa kututawala kwa muda mrefu huku wakiiba na kupeleka kwao ughaibuni.
NI akina nani hao si ni wazanzibari waliopiga kura kwa uwingi kuikataa CCM? !.
Na wale walioko CCM si MACHOTARA?! e.g. mh Abood, Karume etc
Kumbe ndio maana nchi yangu ni maskini
Pro utawala wana akili za namna hii
 
sijui kwanini tanzania ni masikini ;- Jakaya Mrisho
 
Hii ni hatari kwa ustawi wa demokrasia nchini. Vipi makamu wa kwanza wa rais atapatikana namna gani?
 
Hata kama hawakuhudhiria Shein kaapishwa na ndiyo Rais mwenye na ajinyonge wasitubabaishe. Mbona uingereza na Ireland ya Kaskazini hawana mahusiano mazuri hakuna anaewaingilia wanafiki wakubwa hao. Aibu yao.
 
wakisusa shauri yao...kwanza hatuwafagilii kwani ndio chanzo cha kututia umasikini kwa kututawala kwa muda mrefu huku wakiiba na kupeleka kwao ughaibuni.
Too low! Kama bado unawaza hivi wewe ni bulicheka. Jiulize miaka 60 tangu uhuru tumejiendeleza vipi zaidi ya kutegemea hela ya hao unao waponda kuendelesha serikali. Kwa wenzetu kuchapa kazi ni jadi hivyo wanatushangaa tunapokuja na misemo kama "hapa kazi tu" katika karne ya 21!
 
Too low! Kama bado unawaza hivi wewe ni bulicheka. Jiulize miaka 60 tangu uhuru tumejiendeleza vipi zaidi ya kutegemea hela ya hao unao waponda kuendelea serikali. Kwa wenzetu kuchapa kazi ni jadi hivyo wanatushangaa tunapokuja na misemo kama "hapa kazi tu" katika karne ya 21!
Bulicheka ni wewe ambae hujui kuwa hadi leo tunataliwa kwa mazingira waliotuachia ya kuwa tegemezi kwao...wewe unaona miaka 60 ya kujitawala ni mingiiiiii huna hata aibu...
 
Political terrorism at work!!!!!!!.....much facade being exercised!!!!!!....but they have forgotten that no any human condition lasts forever!!!!....it is just a matter of time!!!!!...let us wait!!!
 
kwa sisi tunaofahamu mambo ya uhusiano wa kimataifa tunajua huu ni msiba mkubwa .
Walitakiwa wawafahamishe uhalisia kuwa wamewaalika kuangalia comedy hapo wangekuja, lakini wakawadanganya watu wanaojitambua kuwa tunamwapisha mshindi.
Hata mie sijaenda
 
wakisusa shauri yao...kwanza hatuwafagilii kwani ndio chanzo cha kututia umasikini kwa kututawala kwa muda mrefu huku wakiiba na kupeleka kwao ughaibuni.

Na wewe nenda uwatawale mbona simple tu
 
Bulicheka ni wewe ambae hujui kuwa hadi leo tunataliwa kwa mazingira waliotuachia ya kuwa tegemezi kwao...wewe unaona miaka 60 ya kujitawala ni mingiiiiii huna hata aibu...
Argument yako bado inakuonyesha jinsi ulivyo bulicheka. Tuna utajiri wa kutosha lakini poor planning na u selfish wa viongozi ndio unaturudisha nyuma. Jiulize huu uchaguzi wa marudio wa kulazimisha umegharimu kiasi gani cha fedha ? Jiulize ule Mkutano wa katiba mpya uligharimu kiasi gani na katiba iko wapi? Jiulize yale mabasi ya mwendo kasi pale jangwani na ujenzi wa infrastructure yake dar vimegharimu kiasi gani? Jiulize hela ya ESCROW ilikuwa kiasi gani na iko wapi? Ukijumlisha haya yote kwa ukalumekenge wako jibu unalopata ni "yote hayo ni kwa sababu wazungu walitutawala muda mrefu! " give me a break!!!
 
Back
Top Bottom