Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,173
- 24,645
Punguza msongo wa mawazo Mangi.
Kila mahali unazungumza upuuzi tu, hakuna jema
ambalo serikali inafanya na ukapongeza.
.
Kwako mimi sitakiwi ni make any sense!!
Na wewe hutakiwi kutoa sense kwangu pia!
Kuna watu wanaona naongea sense,ila wewe haina haja kuona any sense in me likewise me to you!
Msongo wa mawazo kwako wewe Mr Zacha?Really?
Hakuna jema lolote na sio kazi yangu kuisifia serikali,ni kazi yako!
Kazi yangu mimi ni kuikosoa serikali wewe yako ni kuisifia!
Fanya yako na mimi niache nifanye yangu!
Unaniingilia kazi yangu!