#COVID19 Marekani: Robo tatu ya wagonjwa wa COVID 19 wanaolazwa wana chanjo ya COVID- 19

Pata na data hizi hapa live za watu walioambukizwa, waliolazwa hospitalini na waliokufa huku wakiwa na chanjo ka kli ya corona!! Sasa hivi kuna waandishi wengi sana wanajaribu kupotosha na kuukwepesha ukweli, hata CDC wenywewe wameanza kujikanyaga baada ya kuwa wametoa ukweli wa taarifa hii mpya ya wiki ya mwisho ya mwezi wa saba mwaka 2012! Data na taarifa waliyotoa hii hapa:

Hospitalized or fatal COVID-19 vaccine breakthrough cases reported to CDC as of July 26, 2021
As of July 26, 2021, more than 163 million people in the United States had been fully vaccinated against COVID-19.

During the same time, CDC received reports from 49 U.S. states and territories of 6,587 patients with COVID-19 vaccine breakthrough infection who were hospitalized or died.

Total number of vaccine breakthrough infections reported to CDC
Hospitalized or fatal vaccine breakthrough cases reported to CDC 6,587
Female 3,193 (48%)
People aged ≥65 years 4,868 (74%)
Asymptomatic infections 1,219 (19%)
Hospitalizations* 6,239 (95%)
Deaths† 1,263 (19%)
*1,598 (26%) of 6,239 hospitalizations reported as asymptomatic or not related to COVID-19.
†309 (24%) of 1,263 fatal cases reported as asymptomatic or not related to COVID-19.

Previous data on all vaccine breakthrough cases reported to CDC from January–April 2021 are available.

How to interpret these data
The number of COVID-19 vaccine breakthrough infections reported to CDC likely are an undercount of all SARS-CoV-2 infections among fully vaccinated persons. National surveillance relies on passive and voluntary reporting, and data might not be complete or representative. These surveillance data are a snapshot and help identify patterns and look for signals among vaccine breakthrough cases.

Data on patients with vaccine breakthrough infection who were hospitalized or died will be updated regularly. Studies are being conducted in multiple U.S. sites that will include information on all vaccine breakthrough infections regardless of clinical status.

Hapo penye hospitalisation (waliolazwa) - alipoweka * ni asilimia 95 ya wagojwa wote waliopata corona baada ya kukamilisha chanjo na kuambukizwa tena na corona! Asilimia 19 ya walioambukizwa baada ya kuchanjwa kikamilifu walifariki! Hizi ni data toka majimbo 49 ya marekani. Ile ya asilimia 80 ya waliolazwa kuwa walikuwa wamechanjwa ni data toka mji mmoja.
 
Hili suala la chanjo ni la mtu kujiongeza mwenyewe na kuwasaidia watu wake kama anawajali ama kuwapenda. Dunia inahimiza chanjo kwa kila mtu, kwa mdomoni inasemekana ni hiyari. Hiyari hiyo inafunikwa na fimbo ya chuma kwamba usipochanjwa huruhusiwi kufanya kitu chochote eti kwa kuwa utawaambukiza waliochanjwa!.

Pamoja na kuchwanjwa kikamlifu yaani kukamilisha mahitaji yote yaliyosemwa hapo awali, kule Massachusets, Marekani jana imereportiwa kwamba katika kila wagonjwa 100 waliopatikana na maambukizi mapya 74 kati yao ni waliochanjwa kikamilifu. Hii ina maana 26% tu ya wlaioambukizwa katika kipindi cha hivi karibuni. Na wanatakiwa hao waliochanjwa kuvaa barakoa na kufanya kila kitu kama wale wasiochanjwa. Taarifa hiyo inasema hakuan mauti iliyotokea kwa wote wallo chanjwa na wasiochanjwa hapo juu.

Wanasayansi bado wanafikiria namna ya kuwasaidia waliochanjwa kwa chanjo nyingine zaidi.
SWALI FIKIRISHI:
Ni kweli kwamba tumeamua kuachana na juhudi za ndani za matumizi ya dawa zetu na kumwomba Mungu huku tukichukua tahadhari kulikotuvusha kwa kishindo katika awamu za maambukizi yaliyotangulia, ili tuwafuate hawa watu waliokuwa wakienda kusikojulikana na hadi sasa hawana uhakika na hiyo njia inawapeleka wapi?

Kama chanjo haisaidii kuzuia mtu kupata madhara, na mtu akichanjwa hana tofauti na asiyechanjwa kwa upande wa kinga, na hiyo chanjo haiwezi kumsaidia mtu aliyeathirika ili kumponyesha, kwa nini inaitwa chanjo? Jina lake halisi na kazi yake ni nini? Kama iko hivyo, ni kitu gani kinafanya ilazimishwe kwa watu kiasi kwamba ukiandika mabaya yake, ama ukiandiak njia sahihi za kutibu corona ambazo zimethibitika na kuponya wengi tu, unaonekana mkosa hata unapigwa ban?

Kwa ufupi hakuna chanjo ya korona. Hiki kinachoendelea ni nini?
 
Hili suala la chanjo ni la mtu kujiongeza mwenyewe na kuwasaidia watu wake kama anawajali ama kuwapenda. Dunia inahimiza chanjo kwa kila mtu, kwa mdomoni inasemekana ni hiyari. Hiyari hiyo inafunikwa na fimbo ya chuma kwamba usipochanjwa huruhusiwi kufanya kitu chochote eti kwa kuwa utawaambukiza waliochanjwa!.

Pamoja na kuchwanjwa kikamlifu yaani kukamilisha mahitaji yote yaliyosemwa hapo awali, kule Massachusets, Marekani jana imereportiwa kwamba katika kila wagonjwa 100 waliopatikana na maambukizi mapya 74 kati yao ni waliochanjwa kikamilifu. Hii ina maana 26% tu ya wlaioambukizwa katika kipindi cha hivi karibuni. Na wanatakiwa hao waliochanjwa kuvaa barakoa na kufanya kila kitu kama wale wasiochanjwa. Taarifa hiyo inasema hakuan mauti iliyotokea kwa wote wallo chanjwa na wasiochanjwa hapo juu.

Wanasayansi bado wanafikiria namna ya kuwasaidia waliochanjwa kwa chanjo nyingine zaidi.
SWALI FIKIRISHI:
Ni kweli kwamba tumeamua kuachana na juhudi za ndani za matumizi ya dawa zetu na kumwomba Mungu huku tukichukua tahadhari kulikotuvusha kwa kishindo katika awamu za maambukizi yaliyotangulia, ili tuwafuate hawa watu waliokuwa wakienda kusikojulikana na hadi sasa hawana uhakika na hiyo njia inawapeleka wapi?

Kama chanjo haisaidii kuzuia mtu kupata madhara, na mtu akichanjwa hana tofauti na asiyechanjwa kwa upande wa kinga, na hiyo chanjo haiwezi kumsaidia mtu aliyeathirika ili kumponyesha, kwa nini inaitwa chanjo? Jina lake halisi na kazi yake ni nini? Kama iko hivyo, ni kitu gani kinafanya ilazimishwe kwa watu kiasi kwamba ukiandika mabaya yake, ama ukiandiak njia sahihi za kutibu corona ambazo zimethibitika na kuponya wengi tu, unaonekana mkosa hata unapigwa ban?

Kwa ufupi hakuna chanjo ya korona. Hiki kinachoendelea ni nini?

1. Umeambiwa ukiwa umechanjwa haikuzuii kupata maambukizi ila hata ukiyapata madhara yake yanakuwa ni kidogo zaidi kuliko ambaye hakuchanjwa.

2. Marekani imethibitishwa katika vifo vyote vitokanavyo na Corona, 99% ni watu ambao hawakuwa wamechanjwa.

3. Ni wazi andiko lako linaonyesha usugu wako wa kutoelewa ulionao ambao ama kwa hakika nao ni kipaji. Hongera 😂😂!
 
Kazi ipo, elimu yote iliyotolewa juu ya chanjo bado hujaelewa tu???. mwalimu wako alikuwa anakazi ya ziada shuleni.
 
Taarifa nimeweka hapa ni ya tarehe 30 July, 2021. Weka hapa taarifa yako tuione.
1. Umeambiwa ukiwa umechanjwa haikuzuii kupata maambukizi ila hata ukiyapata madhara yake yanakuwa ni kidogo zaidi kuliko ambaye hakuchanjwa.

2. Marekani imethibitishwa katika vifo vyote vitokanavyo na Corona, 99% ni watu ambao hawakuwa wamechanjwa.

3. Ni wazi andiko lako linaonyesha usugu wako wa kutoelewa ulionao ambao ama kwa hakika nao ni kipaji. Hongera 😂😂!
 
Kazi ipo, elimu yote iliyotolewa juu ya chanjo bado hujaelewa tu???. mwalimu wako alikuwa anakazi ya ziada shuleni.
Kwa hiyo wewe hicho unachoambiwa ndicho unakiita elimu yote!. Kweli mbwiga ni mbwiga. Utata na mambo yanayotokea kila kukicha juu ya utata uliogubika ambao hata wataalamu hawaelewi ila wanaendelea na utafiti wewe hujui? Unasema elimu yote!.

Wewe bwana hata ukiambiwa kula chochote utasabangila.
Subiri matangazo ukariri, mijadala ya kutumia vichwa si kiwango chako" Dah!. Zero nyingine hapa.
 
Kwa hiyo wewe hicho unachoambiwa ndicho unakiita elimu yote!. Kweli mbwiga ni mbwiga. Utata na mambo yanayotokea kila kukicha juu ya utata uliogubika ambao hata wataalamu hawaelewi ila wanaendelea na utafiti wewe hujui? Unasema elimu yote!.

Wewe bwana hata ukiambiwa kula chochote utasabangila.
Subiri matangazo ukariri, mijadala ya kutumia vichwa si kiwango chako" Dah!. Zero nyingine hapa.
Punguza bangi, hata kama hauelewi hutaki uambiwe kuwa hauelewi, yaani watu wote unataka tuwe na akili kama yako, pole yako.
 
Taarifa nimeweka hapa ni ya tarehe 30 July, 2021. Weka hapa taarifa yako tuione.
Hii hapa ni ya jana Aug 5:



99% ya vifo vya Corona ni kwa wale ambao hakuchanjwa.
 
Kwa hiyo wewe hicho unachoambiwa ndicho unakiita elimu yote!. Kweli mbwiga ni mbwiga. Utata na mambo yanayotokea kila kukicha juu ya utata uliogubika ambao hata wataalamu hawaelewi ila wanaendelea na utafiti wewe hujui? Unasema elimu yote!.

Wewe bwana hata ukiambiwa kula chochote utasabangila.
Subiri matangazo ukariri, mijadala ya kutumia vichwa si kiwango chako" Dah!. Zero nyingine hapa.

Mkuu hii mbombo ni ya kitalaamu zaidi. Siyo saizi yetu:

 
Kwahio wasingechanja hakuna ambaye angalazwa ?
Au badala ya robo tatu ingekuwa 3/4 ?

Badala ya kulalamika hii chanjo sio 100% tungekuwa tunahangaika kutafuta ipi ni bora zaidi..., tunajua haya ni mapambano ambayo ni endelevu kuliko kuwa wapiga kelele kwamba hii haifai tungetafuta ipi inafaa
Hakuna chanjo bora bana,chanjo zimekuwa developed ndani ya mwaka 1 haziwezi kuwa nzuri.Ndio maana kitaalamu wataziita chanjo za dharura, emergency vaccines,It means dunia nzima bado tupo kwenye test,we are test rats.
Chanjo hizi hizi zitazokuja kuwa developed in following 5/10 years zitakuwa effective kulizo hizi za sasa,factor ya muda ni very impartant kwenye medical issues,lakini hizi vaccines hazikuzingatia muda.
 
Kwahio wasingechanja hakuna ambaye angalazwa ?
Au badala ya robo tatu ingekuwa 3/4 ?

Badala ya kulalamika hii chanjo sio 100% tungekuwa tunahangaika kutafuta ipi ni bora zaidi..., tunajua haya ni mapambano ambayo ni endelevu kuliko kuwa wapiga kelele kwamba hii haifai tungetafuta ipi inafaa
Hiyo analysis maana yake kinga ya mwili ya asili ina nguvu kuliko hiyo chanjo ya majaribio. Ila sema kwa sababu lengo si kutafuta iliyo bora wapenzi wa chanjo watafumba macho na kuficha kichwa mchangani!
 
Back
Top Bottom