ongeza nyama mzee wangu... Bila kusahau picha
Kazi kaziMashindano ya silaha kali yameanza hasa kipindi hiki cha Trump


Kweli kabisa! Hili halina ubishiWana Sayansi Wapo Kwenye Mataifa Ya Wenzetu
... Iran itakuwa "kitalu" cha majaribio ya hiyo kitu.
IKATIZE KAMA ILIVYOKATIZA ILE YA MWANZO KWENYE ANGA LA TEHRAN ILIOSHUSHWA![]()
Huku kwetu tunasoma historia ya sayansi.Wana Sayansi Wapo Kwenye Mataifa Ya Wenzetu
Hahaha! Kwahiyo Iran silaha zake hazijulikani. Na hizi wanazozinduaga na kuzitangaza?The worst thing is
Dunia haijui huyu muiran ana silaha za aina gani so endeleni kumchukulia poa atawashangaza
Hahaha! Kwahiyo Iran silaha zake hazijulikani. Na hizi wanazozinduaga na kuzitangaza?



Nasikia Jiwe kasoma bajeti yake, kipato Cha mtanzania kimepanda laki moja zaidi!!!?...![]()
Mkuu upo??