CubaHakuna anayeweza kupambana na Marekani
ExactlyHiyo yote ni mipango ya Elon Musk akimtumia jamaa yake Trump hili akachukue Lithium ambayo Maduro amewanyima..
...Sasa kama ni hivyo kwanin asije tu huku Tanzagiza, tumpe hiyo Lithium achimbe hata miaka 100, ila kwa shariti moja tu la kutuondolea hawa wadhalimu wa chama cha mashetani!?
Hiki kitu wametoka kukifanya Congo sasa hivi wanachukua Lithium & Cobalt kama wanaokota njugu kwa kivuli cha upatanishi.Hiyo yote ni mipango ya Elon Musk akimtumia jamaa yake Trump hili akachukue Lithium ambayo Maduro amewanyima..
...Sasa kama ni hivyo kwanin asije tu huku Tanzagiza, tumpe hiyo Lithium achimbe hata miaka 100, ila kwa shariti moja tu la kutuondolea hawa wadhalimu wa chama cha mashetani!?
Hakuna anayeweza kupambana na Marekani
Ni sawa Marekani ana nguvu kubwa zaidi ya kijeshi lakini kumbuka kuna nchi ina vichaa Kama Noth Korea na Vietnam, ambao wao hawajali kupoteza lakini jiji kama la New York watalifanya majivu kama alivyosema Rais wa North KoreaHakuna anayeweza kupambana na Marekani
Waje na hapa kwetu tutawapa hiyo Lithium ambayo inachimbwa na Abdul kupitia kampuni yao ya mauza uza Itel East African company Limited.Hiki kitu wametoka kukifanya Congo sasa hivi wanachukua Lithium & Cobalt kama wanaokota njugu kwa kivuli cha upatanishi.
Yeah, wakiingia hapo Venezuela wanaweza wakaipa nchi kilema cha kudumu.Korean War aliishia katika stalemate. Vietnam aliikimbia mwenyewe yalipomshinda nchi (iliyokuwa South Vietnam) ikaingia kwenye mikono ya makomunisti. Vita dhidi ya Taliban kwa takriban miaka 20 hiyo Taliban ikaishia kurudi. Iraq wameivamia 2003 wamemtoa Saddam ila wakaishia kuiharibu nchi, wakafeli na mambo yakawaharibikia wakaishia kujiondoa mwaka 2011 baada ya kuiharibu nchi ya watu.
Kinachonisikitisha kama kweli wanapanga kuivamia Venezuela wanataka tu kuongeza katika rekodi yao idadi ya nchi walizozivamia wakaziharibu na kuziachia matatizo.