mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,705
- 7,214
Uvamizi wa Jeshi la Marekani nchini Venezuela na kutekwa kwa Rais wa Nchi hiyo umetoka masaa matano tu tangu Rais Maduro akutane na maafisa kutoka China.
Katika masula ya siasa za kikanda na kimataifa huu ni Ujumbe mzito kuwa sio China wala Urusi ambaye anaweza akakulinda dhidi ya Marekani na washirika wake. Hili limeonekana kwa mataifa ya Venezuela, Syria. na Iran.
Je hili pia linadhihirisha kuendelea Ubabe wa Marekani duniani, dhidi ya Mataifa ya Urusi na China?
Je funzo gani linapatikana kwa mataifa ambayo yalikuwa yakiamini kuwa kuwa karibu na China na Urusi kunakupa ulinzi thabiti dhidi ya Taifa la Marekani?
Katika masula ya siasa za kikanda na kimataifa huu ni Ujumbe mzito kuwa sio China wala Urusi ambaye anaweza akakulinda dhidi ya Marekani na washirika wake. Hili limeonekana kwa mataifa ya Venezuela, Syria. na Iran.
Je hili pia linadhihirisha kuendelea Ubabe wa Marekani duniani, dhidi ya Mataifa ya Urusi na China?
Je funzo gani linapatikana kwa mataifa ambayo yalikuwa yakiamini kuwa kuwa karibu na China na Urusi kunakupa ulinzi thabiti dhidi ya Taifa la Marekani?