Marekani ipo harakati ya kuitengeneza Libya Nyengine Mashariki ya Kati.

Marekani ipo harakati ya kuitengeneza Libya Nyengine Mashariki ya Kati.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,652
Reaction score
5,130
Mjadala mkubwa kwa sasa ni Operation ya Marekani dhidi ya Iran katika harakati za kuondosha serikali inayoita ya Mkono wa Chuma,ambapo kwa taarifa imesema kuwa imefanikiwa pakubwa kwa wauwa viongozi wa juu(Maamuzi).

Lakini binafsi naona hakutakuwa na Mshikamano ndani ya Irani endapo Wairani wataletewa mtu mwengine (Reza Pahlavi) kuongoza nchi.

Kuna harufu ya Vita ya wenyewe kwa wenyewe kama Mataifa mwengine ambayo Marekani ameyatendea kama alivyofanya Irani pale Jana.
 
Trump alisema baada ya gaidi kuondolewa, Iran itakuwa chini ya wana Iran wenyewe.

Litakalofuata n la wa Iran wenyewe
 
Sijui, kwan alisemaje
Alisema kama alivosema Trump..tatizo limekuja baada ya kuweka serikali yao wanayoijua wao,imagine mtu anakaa nje ya nchi Miaka yote alafu analetwa kusimamia uongozi wa juu.
 
Back
Top Bottom