Marekani inalia-lia: Urusi yavamia mitambo ya umeme, Vermont

Marekani inalia-lia: Urusi yavamia mitambo ya umeme, Vermont

Vuguvugu kati ya Marekani na Urusi linazidi kuchemka baada ya kuripotiwa uvamizi wa mifumo ya gridi ya taifa huko Vermot. Maafisa wa kituo hicho wanasema wamepambana na kompyuta iliyokuwa ikifanya operations ambayo haikuunganishwa na mifumo yao. Kompyuta hiyo imehusishwa na Urusi. Hatua ya mifumo ya umeme kwenye grid ya taifa kuvamiwa ni hatari kwa huduma za dharura na afya.

Russian operation hacked a Vermont utility, showing risk to U.S. electrical grid security, officials say
Ndio anachotaka Obama hicho kwa kuwa yeye anaondoka ataka kuharibu nchi
 
Obama nae ni mse.nge.rema Putin katulia anajichekesha chekesha, hizi wiki 3 ataolewa
 
Chezea Vladimir Putin wewe jamaa ni akili kubwa achana na mjaruo mnywa uji.
 
'Russia hacking code' found on Vermont utility computer-BBC
 
NSA WANATAKIWA KUJUA SNOWDEN YUKO RUSSIA KUTOKEA CHINA.
KAMA AKIAMUA KUVUJISHA CHOCHOTE HAKUNA WA KUMZUIA.

PILI WANAPASWA KUJUA KTK ULIMWENGU WA ETHICAL NA UNETHICAL HACKING HAKUNA MWENYE HATI MILIKI . OBAMA ATULIE OTHEWISE KAULI ZAKE ZIWE SEHEMU YA MPANGO MKUBWA WA KITAIFA AMBAO HATA TRUMP ANAJUA.
 
For a long time america has been chaotic to other nations due to misuse of its military and technological ability, now its time for them to taste the flavour of technological advancement of their rivals so that the world can balanced
 
Vuguvugu kati ya Marekani na Urusi linazidi kuchemka baada ya kuripotiwa uvamizi wa mifumo ya gridi ya taifa huko Vermot. Maafisa wa kituo hicho wanasema wamepambana na kompyuta iliyokuwa ikifanya operations ambayo haikuunganishwa na mifumo yao. Kompyuta hiyo imehusishwa na Urusi. Hatua ya mifumo ya umeme kwenye grid ya taifa kuvamiwa ni hatari kwa huduma za dharura na afya.

Russian operation hacked a Vermont utility, showing risk to U.S. electrical grid security, officials say

Hiyo habari inaelekea ni ya kizushi....

WASHINGTON POST STIRS FEAR AFTER FALSE REPORT OF POWER GRID HACK BY RUSSIA
http://www.infowars.com/washington-post-stirs-fear-after-false-report-of-power-grid-hack-by-russia/
Story quickly falls apart after investigation finds claims to be inaccurate
 
Daah!!! Hiyo kazi ni ya Edward snowden ...maan huyo jamaa ni mchawi wa compture
 
Back
Top Bottom