Who cares bro. Hiv unafikir mzungu anajali hilo. Sema sisi ndio tutakufa kabisa kiuchumiWewe unadhani resistance ya Iran dhidi ya uvamizi inaweza kuwa na athari gani? Iran ni taifa kubwa sana na lenye nguvu kuliko yote mashariki ya kati. Kuivamia kijeshi ni hasara kuliko faida kwa wavamizi wenyewe. Hiyo jamii sio ya waarabu.
Jamaa muongo wewe,dah!Kwa nini hawakuwa nazo kabla hizo nukes?Sio kuweza tu lakini kila mmoja apate heshima yake.
Nataka ujue kuwa moja ya sababu Iran inaona ujinga kuambiwa ikatii kuwa isiwe na nyuklia ni hiyo.
Inajiuliza ikiwa ni ubaya na hatustahiki kuwa nazo mbona sisi ndio wa mwanzo kuanza michakato ya kikemikali kama hiyo.Kwanini tumuwachie mwengine atupande juu ya vicwa vyetu.
Muhimu tu wakubai kuvumilia kipigo kama walivyo Hamas na hatimae wataibuka washindi.
Jamani mnaonaje sasa tukijikomboa kifikra. Kuna mengi yanayotuhusu sisi waafrika na bara letu, tuyajadili, tuyazungumze na kujivunia. Pia tupunguze kuwashobokea wazungu.Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.
Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.
Inaonekana hujaelewa maana ya marekani na nini Nia yake.tofautisha kuvamiwa na kushambuliwa ni vitu viwili tofauti marekani haijasema kuvamia marekani itashambuli hasa kwenye vinu vyake vya ki Nuclear!!Wewe unadhani resistance ya Iran dhidi ya uvamizi inaweza kuwa na athari gani kwenye eneo la mashariki ya kati? Iran ni taifa kubwa sana na lenye nguvu kuliko yote mashariki ya kati. Kuivamia kijeshi ni hasara kuliko faida hata kwa wavamizi wenyewe. Hiyo jamii sio ya waarabu. Kuivamia Iran ni kuliingiza eneo zima la mashariki ya kati kwenye vita ambavyo hawataweza kuvimaliza.
B52, Iran anakuwa ni mwali mchumba tu,Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.
Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.
Wewe unadhani resistance ya Iran dhidi ya uvamizi inaweza kuwa na athari gani kwenye eneo la mashariki ya kati? Iran ni taifa kubwa sana na lenye nguvu kuliko yote mashariki ya kati. Kuivamia kijeshi ni hasara kuliko faida hata kwa wavamizi wenyewe. Hiyo jamii sio ya waarabu. Kuivamia Iran ni kuliingiza eneo zima la mashariki ya kati kwenye vita ambavyo hawataweza kuvimaliza.
Vita vya Kale, man to man combat, sasa vita ni hightech, Iran atamweza US? ambaye ameshasogeza silaha upenuni kwakeWaajemi sio wa mchezo mchezo. Wamepigana vita kabla Yesu hajazaliwa sembuse Marekani iliyogunduliwa juzi na akina Columbus!
Dah😄Hawa makafirs USA wanataka kumnyoa udevu Ayatollah Khamenei bila poda.Masikini kipenzi chetu Ayatollah!
The B-52 Stratofortress can reach a maximum altitude of 50,000 feet (15,166.6 meters). It is a long-range, heavy bomber capable of flying at high subsonic speeds at that altitude. The B-52 can also carry nuclear or precision-guided conventional ordnance and has worldwide precision navigation capabilitiesHizo ndege hata makomandoo wetu wavunja matofali pale taifa wanaweza kuzidungua Kwa RPG na kusambaratika kama maji
Tumsikitikie Ayatollah Khamenei ndugu yangu.Just imagine, Ayatollah Khamenei hana udevu ila kavaa kilemba.Pata picha.Dah😄
Comment yako inachekeaha
Kwa hapo Wafuga Midevu na Majini akina Webabu mdogoye Adiosamigo na Bwana wao Ritz umewaumbua sana!!Mnapenda kuipa Iran ukuu ambao haijawahi kuwa nao.
Jiulize, Iran ilipigana na Iraq kwa miaka mingapi? Hivi unafahamu kuwa airan ilidhibitiwa na Iraq kwenye mapigano mpaka kufikia kuomba msaada kwa Israel?
Soma hapa ndiyo utaona usivyo na uelewa:
Israel supported Iran during the Iran–Iraq War. Israel was one of the main suppliers of military equipment to Iran during the war. Israel also provided military instructors during the war, and in turn received Iranian intelligence that helped it carry out Operation Opera against Iraq's Osirak nuclear reactor.
Ajaribu aone atajutaaMarekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.
Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.
Umeanza tena kuandika ujinga.Mitambo inayotestiwa waajemi waliposilimu ndio wahusika wakuu wa kuivumbua.
Wanasayansi kibao waliogundua madawa ya kutengenezea mabomu na kujishughulisha na mambo ya anga waliotokea maeneo ya Iran na jirani yake.
Ndege rahisi sana kudungua hizo labda wakapigane burundi hukoMarekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.
Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.
this time they mean businessHuo ni Mkwara tu!
unaamini USA anaweza kuanzisha vita na iran? kwa level ya technology ya iran aliyofikia sasa hv asitegemee hyo vita atashinda km iraq hzo warship zake zote itabidi azirudishe nyumbani zikapumzike asizitumie kwenye hyo vita yatakua makaburithis time they mean business
..mbona walitii amri ya mazungumzo, ni us ndyo waliwa summon Iran waende Oman, hakuna silaha ya IRAN inaweza fika USA, lakini USA sasa wanacheza karibu na mwambao wa IranUSA anautemi wa kipumbavu yaani majadiliano yanafanyika lakini unalazimishwa uyakubali hata km hayana maslahi kwa taifa lako bahati mbaya kamkuta anaemtisha sio muoga wa vita na alikuwa anajiandaa zaidi ya miaka 30+ alikuwa anajua