Marekani: El Chapo amuomba Rais amrejeshe Mexico

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,811
4,533
Mlanguzi wa dawa za kulevya Joaquin "El Chapo" Guzman ameomba msaada kwa Rais wa Mexico kutokana na madai ya mateso ya kisaikolojia anayopata katika gereza la Marekani.

"Katika miaka sita ambayo Joaquin amekuwa nchini Marekani, hajaona jua," alisema Jose Refugio Rodriguez, mwakilishi wa kisheria wa Mexico.

Kwa mujibu wa kituo cha habari ‘Mexico News Daily’ wameeleza kwamba ujumbe huo, uliofafanuliwa kama "SOS," ulipitishwa kupitia mmoja wa mawakili wa Guzman nchini Marekani pamoja na familia yake.

Guzman amemuomba Rais Andres Manuel Lopez Obrador kushughulikia madai ya ukiukaji wa taratibu wakati wa kurudishwa kwake mwaka 2017 chini ya serikali ya zamani.
 
Joaquin Guzman 'El Chapo' anatumikia kifungo cha maisha Nchini Marekani tangu alivyokamatwa Mwaka 2019 baada ya kukutwa na hatia ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya kwa miaka 25.

Amemuomba Rais Andres Manuel Lopez Obrador ili akamalizie kifungo chake Mexico akidai kuwa amekuwa akinyanyaswa.

El Chapo amewahi kukamatwa na kufungwa gerezani Nchini Mexico lakini alifanikiwa kutoroka.

==== ==== ==

El Chapo urges Mexican extradition, begs his president to save him from 'cruel and unfair' US prisons

Infamous drug trafficker "El Chapo" has pleaded to speak with Mexican President Andrés Manuel López Obrador over "cruel and unfair" treatment in U.S. prisons and request an extradition.

"Joaquín asked me through verbal messages to fight for his return to Mexico," lawyer Jose Refugio Rodriguez said during an interview with Mexican outlet Radio Formula. "I see it as an SOS… he is hurting from a trial that was not in accordance with due process."

Joaquin "El Chapo" Guzman, longtime head of the multibillion-dollar Sinaloa drug cartel, was convicted in New York on Feb. 12, 2019, of running an industrial-scale smuggling operation and sentenced to life in prison. As Mexico’s most powerful drug lord, he ran a cartel responsible for smuggling mountains of cocaine and other drugs into the U.S. during his 25-year reign, prosecutors said in court papers.

Rodriguez, Guzman’s lawyer, claimed that his client has suffered "unequal" treatment in the Colorado supermax prison where he is serving his sentence, telling Radio Formula that his client "doesn’t see the sun, the food is of very bad quality, there is no healthcare; he had a problem with his molars and instead of treating them, they took them out so he wouldn’t fuss."

Rodriguez further claimed that Guzman has had limited opportunities to speak with his lawyers and family — only six or seven calls since March 2022. He said that he had sent a letter to Esteban Moctezuma, Mexico’s ambassador to the U.S., detailing the request to speak with Obrador, but has not heard any response.

The lawyer complained that his client remains in isolation, prohibited from speaking Spanish — something he referred to as "psychological torture." He hoped that providing the interview to Radio Formula would help bring his case to attention of Mexican authorities and officials.

But Rodriguez acknowledged that his client believed his human rights had already been violated when he was denied the chance to defend himself in Mexico and instead was extradited to the U.S. to stand trial.

Source: Foxnews

----- -------

Mexican president to consider plea by 'El Chapo’ to serve sentence in Mexico

Mexican President Andres Manuel Lopez Obrador said Wednesday that his administration would consider a request by convicted drug lord Joaquin "El Chapo" Guzman to complete his sentence in Mexico.

The former leader of the Sinaloa Cartel, who has remained in US custody at the United States Penitentiary Administrative Maximum Facility (ADX) in Florence, Colorado since 2019, has demanded attention from the Mexican government over the conditions he is subjected to in the US.

"I ask President Lopez Obrador to intervene so I can return to Mexico and finish my sentence in a Mexican prison. The conditions in which I find myself in a maximum security prison in the United States are degrading, infamous and inhumane," said Guzman in a letter.

Guzman, who has escaped from Mexican maximum security prisons on two occasions, was found guilty of all charges in February 2019 by a federal jury in Brooklyn, New York, including being the leader of a continuing criminal enterprise, multiple drug trafficking-related charges, violence, corruption and money laundering.

"El Chapo" was extradited to the US in 2017 under the instructions of then-Mexican President Enrique Pena Nieto. According to Jose Refugio Rodriguez, Guzman's attorney, the extradition was due to an illegitimate pact between Pena Nieto's administration and the US government.

Rodriguez has reached out to Mexico’s US Ambassador Esteban Moctezuma Barragan to intercede, alleging that Guzman was extradited to the United States in violation of his rights and accusing then-Mexican Foreign Minister Luis Videgaray of acting "submissively" to the US.

Guzman's lawyer insisted that there is a legal way for ‘El Chapo’ to return to Mexico, noting that the extradition treaty allows the former drug kingpin to return to his home country since Guzman has criminal proceedings pending in Mexico.

"Once extradition was granted, (Guzman) should have remained in Mexico until all his proceedings here were completed by a sentence and then turned over," said Rodriguez.

Foreign Minister Marcelo Ebrard quickly dismissed the request.

"I don't see any possibilities, frankly, but I will check with the prosecutor's office," he said.

However, Lopez Obrador said at his daily press conference that he would look into Guzman's case.

"When it comes to human rights, there are international channels and instances. So we can't rule this out because the main human right is the right to life. We have to see if this can go forward or not, if we have…the possibility, the power to do so," he said.
 
Jamaa limesababisha mateso, limeua watu chungu nzima, limeharibu vijana kwa madawa yake anayosambaza lakini bado linajiona linastaili kuishi sawa na binadamu wengine... duh
Vipi kuhusu walioua watu huko Iraq kwa kusema kua Saddam Hussein ana silaha za WMD na baada ya kumvamia na kuua watu wasio na hatia hawakuzikuta hizo silaha? sitaki kutaja na mambo mengine waliofanya,nimeamua kutolea mfano wa Iraq tu.
 
Huyu Boss wa Sinaloa Cartel Joaquin Archivaldo Guzman Loera "El chapo" amefungwa kwenye jela ya ADX Florence Colorado United States,hilo ni gereza ambalo ni maximum security,mfungwa anakaa ndani ya gereza ambalo ni sawa na Cage kwa 23hours,saa 1 tu ndio anapata fursa ya kumove somewhere,Colorado supermax prison is worse than death,the only way to escape this Prison is Death.

Pia mtoto wake anayeitwa Ovidio Guzman Lopez "The Mouse" nae amekamatwa ilikua tarehe 5.1.23 katika mji wa Culiacan Sinaloa huko Mexico na amehifadhiwa kwenye gereza ambalo Baba yake alifungwa hapo 2015 na alitoroka,El Chapo ameweza kutoroka mara mbili gerezani ila hilo gereza alilopo sasa ndio mwisho wake hapo.
 
Jamaa namkubali sana kwa namna alivyo mpambaji

Kule akirudi yale makundi yatamchomoa kwa nguvu iwe isiwe. Ila wangempunguzia adhabu ni ombi tu!
 
Mlanguzi wa dawa za kulevya Joaquin "El Chapo" Guzman ameomba msaada kwa Rais wa Mexico kutokana na madai ya mateso ya kisaikolojia anayopata katika gereza la Marekani.

"Katika miaka sita ambayo Joaquin amekuwa nchini Marekani, hajaona jua," alisema Jose Refugio Rodriguez, mwakilishi wa kisheria wa Mexico.

Kwa mujibu wa kituo cha habari ‘Mexico News Daily’ wameeleza kwamba ujumbe huo, uliofafanuliwa kama "SOS," ulipitishwa kupitia mmoja wa mawakili wa Guzman nchini Marekani pamoja na familia yake.

Guzman amemuomba Rais Andres Manuel Lopez Obrador kushughulikia madai ya ukiukaji wa taratibu wakati wa kurudishwa kwake mwaka 2017 chini ya serikali ya zamani.
Atoroke tu...asisubiri kurejeshwa
 
Huyu Boss wa Sinaloa Cartel Joaquin Archivaldo Guzman Loera "El chapo" amefungwa kwenye jela ya ADX Florence Colorado United States,hilo ni gereza ambalo ni maximum security,mfungwa anakaa ndani ya gereza ambalo ni sawa na Cage kwa 23hours,saa 1 tu ndio anapata fursa ya kumove somewhere,Colorado supermax prison is worse than death,the only way to escape this Prison is Death.

Pia mtoto wake anayeitwa Ovidio Guzman Lopez "The Mouse" nae amekamatwa ilikua tarehe 5.1.23 katika mji wa Culiacan Sinaloa huko Mexico na amehifadhiwa kwenye gereza ambalo Baba yake alifungwa hapo 2015 na alitoroka,El Chapo ameweza kutoroka mara mbili gerezani ila hilo gereza alilopo sasa ndio mwisho wake hapo.
Duh!..waliamua kumpoteza kabisa huyu jamaa
 
Katika mauaji niliyoumia ni huyu Guzman kuua wale wabunge na wale viongozi wa dini waliokua wanataka kupitisha sheria mpya kuhusu madawa ya kulevya jamaa walienda kuwaua wote kwenye kikao chao...wacha atulie tuu huko kwanza Jua sio ishu sana kwake...hiyo jela waliwahi toroka wafungwa kadhaa ila hawakupatikana mpaka baadae Serikali ya USA ikatangaza kuwa walifia baharini maana hiyo bahari yenyewe ni chafu balaa ni ngumu kwa watu kuweza kuogelea...
 
Back
Top Bottom