Wewe unaumia nini wakati yeye ndie alieavamiwa na anataka haki yake? Au ndio wewe unafurahi Lissu akizidi kukaa ndani na asipewe haki yake?Ila wewe mkuu,
Unaipenda mno Iran, unafikia kiwango cha kupoteza mpaka akili yako kisha kufunga uwongo uwongo tu kisa Iran au USA
Ukiondoa hii tarifa, kuna uzi mwingine umetuma ukidai USA atepeta, akubali masharti yote Ya Iran, sjui akubali kulipa dola 6B zilizokuwa zimezuiliwa huko Qatar n.k
Mkuu, tunakushimu sana humu chief
Nh'ungumalwa ulishatoka au bado upo huko? Nataka kuja kutafuna mtama mwekumdu huko
Marekani safari hii watatubu tu watake wasitake.Anata Iran iachane na nyuklia yake yote huku yeye na Israel wao wazidishe kuzalisha. Iran amesema kama ni hivyo warudi tu vitani, hakuna binaadam mwenye akili anaweza kukubali masharti hayo
Sina cha kukomenti kwenye hili chiefWewe unaumia nini wakati yeye ndie alieavamiwa na anataka haki yake? Au ndio wewe unafurahi Lissu akizidi kukaa ndani na asipewe haki yake?
Kuna jamaa humu anaitwa Echolima1. Huyo hata Netanyahu akijamba, lazima aje kuandika thread humu ya kuusifu ushuzi wa Netanyahu kuwa una manukato ndani yake.Ila wewe mkuu,
Unaipenda mno Iran, unafikia kiwango cha kupoteza mpaka akili yako kisha kufunga uwongo uwongo tu kisa Iran au USA
Ukiondoa hii tarifa, kuna uzi mwingine umetuma ukidai USA atepeta, akubali masharti yote Ya Iran, sjui akubali kulipa dola 6B zilizokuwa zimezuiliwa huko Qatar n.k
Mkuu, tunakushimu sana humu chief
Nh'ungumalwa ulishatoka au bado upo huko? Nataka kuja kutafuna mtama mwekumdu huko
Mkuu,Kuna jamaa humu anaitwa Echolima1. Huyo hata Netanyahu akijamba, lazima aje kuandika thread humu ya kuusifu ushuzi wa Netanyahu kuwa una manukato ndani yake.
Swali.. je na yeye ushawahi kumshangaa namna hii kwa kuipenda Israel na Netanyahu wake kupitiliza?
Au kunya anye kuku tu, lkn akinya bata ni shida?
Alipimwa akakutwa ana Malaria 2Huyo hata Netanyahu akijamba
Yaani Iran kibokoKuna wapagazi humu walisema Marekani amekubaliana na masharti yote ya Iran sasa katika hali kama hii tutawaona wakiingia mitini au kama kawaida wakibadilisha gia angani kwamba hawakusema hivyo.