HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,373
- 94,566
Kwa mara nyingine Marekani imekamatwa ikidukua Nchi rafiki na viongozi wa nchi hizo
Uvujaji wa Siri siku za hivi karibuni umefichua umbali ambao Marekani imeenda kupata taarifa hadi milangoni mwa maadui na marafiki.
UAE
Imejikuta taarifa zake kuhusu kujitenga na US, UK zikianikwa hadharani
South Korea
Taarifa zinadai kuwa mazungumzo kati ya Rais na washauri wake walikuwa hawaelewani
Israel
Taarifa zinadai kuwa Mossad na MoD walishauriana kuandaa maandamano ili kupinga Mswada wa Sheria ambao ungeipa Serikali nguvu juu ya Mahakama
Egypt
Taarifa zinadai Egypt kwa Kisiri alikubali kutengeneza makombora 40,000 na kuyatuma Russia kisiri
Russia
Taarifa zinadai kuwa Marekani ina watu ndani ya Wagner na MoD ya Russia hivyo inakuwa rahisi kwa Marekani kujua kila sehemu Wagner waendapo ndo maana wamekuwa wakitoa taarifa na mashambulizi kufanyika, itakumbukwa mara kadhaa Mkuu wa Wagner amekoswa koswa na mashambulizi.
Kushindwa kwa jeshi la Russia pale Vuhledar ni kidhihirisho kuwa Marekani alijua kabla na kuwapa taarifa Ukraine
Ukraine
Maongezi kati ya Rais wa Ukraine na MoD na viongozi wengine yamevuja, hii yaonesha Marekani inawafatilia Ukraine ili kujua kila kinachoendelea ndani ya ikulu hiyo
Serikali zote zimekana kuhusu hayo
Pentagon yadai kuwa kuvuja kwa siri hizo kutahatarisha usalama kwa waliokuwa wakitoa taarifa kwenda Marekani.
Ukraine yabadilisha mbinu za mashambulizi.
Uvujaji wa Siri siku za hivi karibuni umefichua umbali ambao Marekani imeenda kupata taarifa hadi milangoni mwa maadui na marafiki.
UAE
Imejikuta taarifa zake kuhusu kujitenga na US, UK zikianikwa hadharani
South Korea
Taarifa zinadai kuwa mazungumzo kati ya Rais na washauri wake walikuwa hawaelewani
Israel
Taarifa zinadai kuwa Mossad na MoD walishauriana kuandaa maandamano ili kupinga Mswada wa Sheria ambao ungeipa Serikali nguvu juu ya Mahakama
Egypt
Taarifa zinadai Egypt kwa Kisiri alikubali kutengeneza makombora 40,000 na kuyatuma Russia kisiri
Russia
Taarifa zinadai kuwa Marekani ina watu ndani ya Wagner na MoD ya Russia hivyo inakuwa rahisi kwa Marekani kujua kila sehemu Wagner waendapo ndo maana wamekuwa wakitoa taarifa na mashambulizi kufanyika, itakumbukwa mara kadhaa Mkuu wa Wagner amekoswa koswa na mashambulizi.
Kushindwa kwa jeshi la Russia pale Vuhledar ni kidhihirisho kuwa Marekani alijua kabla na kuwapa taarifa Ukraine
Ukraine
Maongezi kati ya Rais wa Ukraine na MoD na viongozi wengine yamevuja, hii yaonesha Marekani inawafatilia Ukraine ili kujua kila kinachoendelea ndani ya ikulu hiyo
Serikali zote zimekana kuhusu hayo
Pentagon yadai kuwa kuvuja kwa siri hizo kutahatarisha usalama kwa waliokuwa wakitoa taarifa kwenda Marekani.
Ukraine yabadilisha mbinu za mashambulizi.