NIKWELI ILA WALISIMAMISHIWA MISHAHARA MIEZI MIWILI ,MAREJESHO YA MWEZI WA 7 NA 8,KWENYE MABENKI SERIKALI HAIKULIPA ,SASA WATUMISHI HAO WAMEKATWA HIZO HELA KWENYE MISHAHARA YA KAWAIDAKwani mikopo hiyo si kawaida kukatwa katika mishahara?? Au sijakuelewa....!!!
duh....NIKWELI ILA WALISIMAMISHIWA MISHAHARA MIEZI MIWILI ,MAREJESHO YA MWEZI WA 7 NA 8,KWENYE MABENKI SERIKALI HAIKULIPA ,SASA WATUMISHI HAO WAMEKATWA HIZO HELA KWENYE MISHAHARA YA KAWAIDA
Siyo kupimwa tu akalazweMtumishi wa umma atakaepigia kura ccm akapimwe akili!!!
Siipendi CCM lakini ukweli ni kwamba, makatato yote yalikuwa yanalipwa isipokuwa ile take home ndiyo hivyo tena.NIKWELI ILA WALISIMAMISHIWA MISHAHARA MIEZI MIWILI ,MAREJESHO YA MWEZI WA 7 NA 8,KWENYE MABENKI SERIKALI HAIKULIPA ,SASA WATUMISHI HAO WAMEKATWA HIZO HELA KWENYE MISHAHARA YA KAWAIDA
Zile check number za watumishi mwaka huu zimetolewa?Mimi mtumishi wa umma napigia CCM siwezi kuyaamini matapeli