chaUkucha
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,382
- 1,220
Sidhani kama kuna ukweli. Maisha ya mwanadamu mwisho wake ajuae ni Mungu pekee.
hata binadamu anaweza kujua mwisho wake sio kila kitu mungu tu!
Sidhani kama kuna ukweli. Maisha ya mwanadamu mwisho wake ajuae ni Mungu pekee.
Imani za kiislam hizi. Uongo, uzushi na Ulaghai.
hata binadamu anaweza kujua mwisho wake sio kila kitu mungu tu!
Unaweza kuthitisha? Hivi unajua ulichokiandika kuwa ni cha hatari. Ulichoandika ni sawa na kusema Uislam ni uongo, uzushi na ulaghai. Mimi sio muislamu lakini sipendi kukejeli imani za kidini za watu wengine. Chunga sana mkuu!Imani za kiislam hizi. Uongo, uzushi na Ulaghai.
hata binadamu anaweza kujua mwisho wake sio kila kitu mungu tu!
Sijajua ni nini, lakini Wanawake wengi waliofiwa na waume zao wanaendelea kuishi kwa muda mrefu tu. Ila kwa wanaume waliofiwa na wake zao hawachukuagi muda nao hufa kwa kweli.
hata binadamu anaweza kujua mwisho wake sio kila kitu mungu tu!