Marehemu huwa anamuita mwenza wake?

Marehemu huwa anamuita mwenza wake?

New Nytemare

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2011
Posts
3,400
Reaction score
2,572
Habari wanajamvi,
Leo nimeona nijaribu kushare nanyi juu ya hii imani ambayo imezoeleka sana katika jamii yetu. Ni kwamba kama wanandoa hasa vijana vijana bahati mbaya katangulia kufariki mwanamke basi na mume huwa hachukui muda mrefu anafariki hata sio kwa ugonjwa yani kwa janga lolote hata ajali kwa kigezo kuwa mkewe kamuita ndo maana naye kafariki mapema..hata mm hili nimeliona mara mbili jamaa kafiwa na mkewe naye mwaka ulofuata alipata ajali ya gari akafa..na mwingine hivohivo naye alipata ajali ya pikpik..sasa napenda kujadili nanyi tujue kama kuna ukweli hapa...
 
habari wanajamvi leo nimeona nijaribu kushare nanyi juu ya hii imani ambayo imezoeleka sana katika jamii yetu..nikwamba kama wanandoa hasa vijana vijana bahati mbaya katangulia kufariki mwanamke basi na mume huwa hachukui muda mrefu anafariki hata sio kwa ugonjwa yani kwa janga lolote hata ajali kwa kigezo kuwa mkewe kamuita ndo maana naye kafariki mapema..hata mm hili nimeliona marambili jamaa kafiwa na mkewe naye mwaka ulofuata alipata ajali ya gari akafa..na mwingine hivohivo naye alipata ajali ya pikpik..sasa napenda kujadili nanyi tujue kama kuna ukweli hapa...

Imani za kiislam hizi. Uongo, uzushi na Ulaghai.
 
mleta mada hebu toka kijijini huko njoo mjini...

watu wa kileji wana imani za ajabu ajabu sana...
 
Wepesi wa kuharibu uzi, kama kawaida yao, na huku wamo pia!
 
Sidhani kama kuna ukweli. Maisha ya mwanadamu mwisho wake ajuae ni Mungu pekee.
 
Ndugu zangi kusema kuwa hiyo ni imani ya wenzetu ni uchokozi kwa hawa ndugu zetu na Naona hapa c mahala pake.
 
Back
Top Bottom