Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,595
- 2,069
Kikwete Mstaafu au Riz1? maana taarifa zitakuwa na uzito tofauti.
Jakaya kwa kujifanya anayajua ya familia HAJAMBO, kwenye msiba wa Ruge alituambia marehemu kaacha watoto wawili, kuja kusomwa historia watoto ni watano.. Mkwere bana hata akiwa na madaraka na elimu porojo haziachi...mdogo wake alienda na Regina wakati hali imeshakuwa mbaya sasa kuwepo kwake huko Kikwete anataka kutuambia nini labda?
Kwa maelezo ya JK ni kama Mjane wa Marehemu hakuwepo hospital.Jakaya kwa kujifanya anayajua ya familia HAJAMBO, kwenye msiba wa Ruge alituambia marehemu kaacha watoto wawili, kuja kusomwa historia watoto ni watano.. Mkwere bana hata akiwa na madaraka na elimu porojo haziachi...mdogo wake alienda na Regina wakati hali imeshakuwa mbaya sasa kuwepo kwake huko Kikwete anataka kutuambia nini labda?
Wana familia wanahiari ya kueleza sababu za kifo au kutoeleza !Nimemsikia Raisi Mstaafu Dkt Kikwete katika taarifa ya habari ITV akisema kuwa Marehemu Dkt Mengi alikuwa na mdogo wake (Mengi) hospitalini pamoja na wanafamilia wengine kabla ya kifo chake.
Hivyo akawataka watu wajihadhari na taarifa zinazozushwa kuhusu sababu za kifo hicho.
Nadhani kwa kauli hii ni vema kujizuia kuzungumzia au kuandika chochote kuhusu rumors za kifo hiki kusubiri taarifa ya wanafamilia kwa kuwa wao wana taarifa kamili.
Kufanya vinginevyo kunaweza kuwaumiza sana wana familia hasa kama kinachosemwa ni uongo.
Sirro alisema swala la Mo siku nne mpaka leo zzz hili ya Mengi tukishazika sahauSawa tunasubiri taarifa ya Sirro kama alivyoahidi
Vyovyote vile, mlalamikaji atabaki kuwa mwanafamilia au wanafamilia siyo Mange. Kwa mantiki hii Kikwete yuko sahihi 100%. Nami ninaamini hakuna mwanafamilia anayelalamika au atakayelalamika na msiba utaisha vizuri kama ilivyo misiba mingine.Jakaya kwa kujifanya anayajua ya familia HAJAMBO, kwenye msiba wa Ruge alituambia marehemu kaacha watoto wawili, kuja kusomwa historia watoto ni watano.. Mkwere bana hata akiwa na madaraka na elimu porojo haziachi...mdogo wake alienda na Regina wakati hali imeshakuwa mbaya sasa kuwepo kwake huko Kikwete anataka kutuambia nini labda?
umemuelewa kikwete wewe ? huyo ni mzee anayeheshimika sana ndani na nje ya nchi, kama mzee ametoa tu ushauri hajajifanya anajua, sisi wenye akili tunajua kikwete hajaegemea upande wowote
Una hakika hakujua? Au kukaa kimya ndio kutokujua?Kikwete ni rais wa wapi? Ukweli ni ukweli tu, haujalishi umesemwa na nani. Kama Kikwete alishindwa kumjua aliyemteka Ulimboka tena akiwa rais, atajua kuhusu ya Mengi tena akiwa mstaafu?
Kwa hiyo wewe na akili yako unamwamini huyu mpuuzi Mange kuliko JK Kikwete? watu sijui mumelishwa kasumba gani na huyo mwehu wenu
Una hakika hakujua? Au kukaa kimya ndio kutokujua?
Duh! Haya jumapili njema mkuu.Kama aliamua kukaa kimya kwenye majukumu yake, hili ambalo sio jukumu lake katokana nalo wapi?
umechukuli serious sana statement ya JK mpaka unachanganyikiwa
sio kweli JK hajui nini kinatokea, nini kimetokea na sio kuwa hajui mambo!.....
Kaongea kama mzee, kumlinda marehemu na familia yake
mtafute Rachel Temu, ndio ana uhakika
yaani unakuja na kurasa 100 eti JK hajui!!!!......
wewe na akili zako zote source yako ni Mange tu???....na unatamba kabisa hapa bila aibu kuwa unamwamini asilimia 100
usichezeee police ya dubai . ni wazuri sana na wako fasta kwa uchunguzi ya mauwaji na kesi za aina yoyote waulize shirika la ujasusi la israel mosad walipoenda watu 23 kumuua comander wa palestine alipokwenda dubai kufanya shopping hoteli aliyofikia mpalestina na wao walichukua vyumba hapo hapo na waliweza kumuuwa lakini kwa mda mchache waligundulika wauwaji na majina yao na sehemu wanapoishi na passport zao walizotumia za nchi tofauti
ok endelea kutafuta.Ndio hasa nikimpata mama yako itakuwa yekeyeke nione nitafune ulikotokea mwanaizaya wewe!
Nimeshampata mama yako nipo nambong'oa marinda yake na dyudyu washa.ok endelea kutafuta.
Mzee mengu amefia dubai na sio south africa.South Afrika ni Dubai?!..... Mzee Mengi amefia south Afrika!
Wamefanya postmortam huko Dubai...amesema mwanasheria wa familia..tena full bodySisi watanzania ni mazuzu sana, sasa unafikiri kama atakuwa ameuawa technically(kitaalam) kuna mwanafamilia atajua chanzo cha kifo eti kisa alikuwa na marehemu hospitalini??!
Unachanganya madesa ..Ruge ndo kafariki akiwa South Africa and Mengi kafariki akiwa DubaiSouth Afrika ni Dubai?!..... Mzee Mengi amefia south Afrika!