Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,367
- 13,674
😂😂😂 Huyo Sirro ni wa kupuuzwa tu maanake hajawahi kufanikiwa kwenye uchunguzi wa aina yoyoteTaarifa ya kutekwa MO hadi sasa bado tunasubiri
😂😂😂 Huyo Sirro ni wa kupuuzwa tu maanake hajawahi kufanikiwa kwenye uchunguzi wa aina yoyoteTaarifa ya kutekwa MO hadi sasa bado tunasubiri
Huyo kamanda Sirro alishawahi kufanya uchunguzi gani akaja na majibu ya kueleweka?!Kamanda Sirro ameongea kitu cha maana kuwa polisi watafanyia kazi hizo taarifa zilizozagaa kuhusiana na kifo cha Mengi.
Neno "upoyoyo" lina ukakasi! Hivi huna lugha nyingine mbadala ya kufikisha ujumbe? Mtu mwema hujulikana kwa matendo na lugha yake. Halikadhalika mtu mwovu hujulikana kwa matendo na lugha yake. Neno lina ukakasi jamani nashindwa kulimeza na hivyo nakurudishia mwenyewe. Ati poyoyo. I'm sorry if your halfminded.Sasa Kikwete kakupa mwanga gani? Jiongeze acha upoyoyo
Lile hekalu la Mengi uliliona lkn...????Tanzania
Lile hekalu la Mengi uliliona lkn...????
Yapo mengine zaidi ya lile.
Leta tuyaone .Lile hekalu la Mengi uliliona lkn...????
Yapo mengine zaidi ya lile.
Naye ameshafarikiLeta tuyaone .
Sasa amebaki tajiri mmoja mweusi katika kumi Bora tz naye ni muhaya Ally mfuruki huku wengine wakiwa waasia.
Vp kuhusu hii kauli yako??Leta tuyaone .
Sasa amebaki tajiri mmoja mweusi katika kumi Bora tz naye ni muhaya Ally mfuruki huku wengine wakiwa waasia.