Pelle mza
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 3,050
- 1,692
Kwa taarifa yako rasimu ya katiba sio KATIBA ingawa wazazi wako walikubatiza jina la WAKUKURUPUKA kwa umri ulionao kwa sasa unaweza kubadili jina lako!Narudia tena, ulipokuwa jela.
Kwa taarifa yako rasimu ya katiba sio KATIBA ingawa wazazi wako walikubatiza jina la WAKUKURUPUKA kwa umri ulionao kwa sasa unaweza kubadili jina lako!Narudia tena, ulipokuwa jela.
Huyo dogo atakuwa Kula Kulala tu Mkuu, Mwanaume gani amekaa kimbea mbea namna hiyo? Sina hakika kama anao ufahamu wa sera ya VIWANDA vya ndugu Magu huyo.Kizazi cha leo sio ajabu kusikia uwezo wa kufikiri unashuka
Yaani kabisa mpumbavu mmoja anaamini katika Mange
Haya yote yalikuwepo enzi na enzi, kwa namna moja au nyingine. Tofauti iliyopo sasa ni njia za kueneza habari tu zimerahisishwa.Hiki kizazi kinachotegemea na kuamini taarifa za mange ndo tunategemea kituletee Tanzania ya Viwanda!
Tanzania Tanzania, vijana wako tunakwama wapi?
HahahahaaaNakushauri omba sana upate kuwa na critical reasoning. The Flow of your Argument haina chembechembe ya mahusiano na facts Bali majungu na wapiga majungu na wapokeaji majungu ....mob as criteria ya ukweli wa habari
Taarifa ya kutekwa MO hadi sasa bado tunasubiriSawa tunasubiri taarifa ya Sirro kama alivyoahidi
Kifaransa kina s. Les informations. By the way nimezoea kuandika french rather than english. So informations sijakosea when it comes to french. Acha kukalili dunia lugha sio kiingereza pekee.Lugha ya malkia ina heshima yake,information haina wingi hivyo edit ondoa s
umemuelewa kikwete wewe ? huyo ni mzee anayeheshimika sana ndani na nje ya nchi, kama mzee ametoa tu ushauri hajajifanya anajua, sisi wenye akili tunajua kikwete hajaegemea upande wowoteJakaya kwa kujifanya anayajua ya familia HAJAMBO, kwenye msiba wa Ruge alituambia marehemu kaacha watoto wawili, kuja kusomwa historia watoto ni watano.. Mkwere bana hata akiwa na madaraka na elimu porojo haziachi...mdogo wake alienda na Regina wakati hali imeshakuwa mbaya sasa kuwepo kwake huko Kikwete anataka kutuambia nini labda?
bora huyo, kuna wajinga hapo juu wameshamtafsiri vibaya kikweteYou need to grow up. Sio kila kitu ni siasa.
Tanzania ya viwanda Unaijua wwHiki kizazi kinachotegemea na kuamini taarifa za mange ndo tunategemea kituletee Tanzania ya Viwanda!
Tanzania Tanzania, vijana wako tunakwama wapi?