Marehemu Dkt. Mengi alikuwa na mdogo wake hospitalini kabla ya mauti kumfika - Kikwete

BEHOLD

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
5,057
10,715
Nimemsikia Rais Mstaafu Dkt. Kikwete katika taarifa ya habari ITV akisema kuwa Marehemu Dkt Mengi alikuwa na mdogo wake (Mengi) hospitalini pamoja na wanafamilia wengine kabla ya kifo chake.
Hivyo akawataka watu wajihadhari na taarifa zinazozushwa kuhusu sababu za kifo hicho.

Nadhani kwa kauli hii ni vema kujizuia kuzungumzia au kuandika chochote kuhusu rumors za kifo hiki kusubiri taarifa ya wanafamilia kwa kuwa wao wana taarifa kamili.

Kufanya vinginevyo kunaweza kuwaumiza sana wana familia hasa kama kinachosemwa ni uongo.
 
Jakaya kwa kujifanya anayajua ya familia HAJAMBO, kwenye msiba wa Ruge alituambia marehemu kaacha watoto wawili, kuja kusomwa historia watoto ni watano.. Mkwere bana hata akiwa na madaraka na elimu porojo haziachi...mdogo wake alienda na Regina wakati hali imeshakuwa mbaya sasa kuwepo kwake huko Kikwete anataka kutuambia nini labda?
 
Jakaya kwa kujifanya anayajua ya familia HAJAMBO, kwenye msiba wa Ruge alituambia marehemu kaacha watoto wawili, kuja kusomwa historia watoto ni watano.. Mkwere bana hata akiwa na madaraka na elimu porojo haziachi...mdogo wake alienda na Regina wakati hali imeshakuwa mbaya sasa kuwepo kwake huko Kikwete anataka kutuambia nini labda?
Hahahaa........!!
 
Sisi watanzania ni mazuzu sana, sasa unafikiri kama atakuwa ameuawa technically(kitaalam) kuna mwanafamilia atajua chanzo cha kifo eti kisa alikuwa na marehemu hospitalini??!

usichezeee police ya dubai . ni wazuri sana na wako fasta kwa uchunguzi ya mauwaji na kesi za aina yoyote waulize shirika la ujasusi la israel mosad walipoenda watu 23 kumuua comander wa palestine alipokwenda dubai kufanya shopping hoteli aliyofikia mpalestina na wao walichukua vyumba hapo hapo na waliweza kumuuwa lakini kwa mda mchache waligundulika wauwaji na majina yao na sehemu wanapoishi na passport zao walizotumia za nchi tofauti
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom