OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,943
jaluo never kenyans president
Mkuu jimbo letu vipi........mbona kama mbunge mtarajiwa karukwa na akili, mara kakwapua simu! Laana za wazee wa chama?au
jaluo never kenyans president
mm sioni sababu ya kuwasifia wakenya kwamba wamekomaa kisiasa,kujitokeza kwao kwa wingi kupiga kura kumbe ni ukabila ndio umewafanya waitikie mwito kwa kiwango kikubwa,wameacha kuangalia sera za mgombea na kukumbatia ukabila,lini nchi zetu za Africa hasa kusini mwa jangwa la sahara tutafikia mkakati wa kuondokana na umaskini?
TRIBALISM and RELIGIOUS DIFFERENCE ina uhusiano gani na maendeleo ya kiuchumi kwa nchi husika? .....pumbavu kabisa EAST AFRICA yote
Nimejaribu mashadaforums nikakuta imeshapigwa chini na serikali tangu January. Nisaidie kama unaifahamu nyingine.
Kama JK ni mzee, Dr. Slaa atakuwa nani?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hao jamaa hatari kwenye kuhamisha kura, wakiingia hao unafikiri sanduku litabaki na kitu? Wataleta za kwao zilishapigwa na mtazihesabu.
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga
Wasijekuwa wanatengeneza mazingira ya kuanzisha vurugu pindi atakapopigwa chini.Friends of Raila wameshatangaza kuwa Raila ameshinda kura za jumla za nchi nzima. habari mpya za mchana huu.
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga
Mbona nyerere hatujamdharau,mwinyi,mkapa mbona husemi?tatizo lenu magamba mnasifia hata uozo,mtu ni dhaifu kwenye uongozi tumsifie kwani hiyo nafasi ni maalum kwa ajili yake?kama ameshindwa uongozi (kama ambavyo ameshindwa) he must go..aende akaongoze familia yake huko sio kukaa na kusifiana kinafiki hapa...matatizo chungu nzima ya nchi hii hamuyaoni...Ukimdharau Rais wako hata wewe umejidharau. Nafasi hiyo kaka ni kubwa mno ambayo ni wachache ndio wataipata. Tatizo wengi mkumbo wa kiitikadi ndio unaowapoteza na kutoona mazuri ya itikadi zingine. Nawaomba tuheshimu mamlaka zilizojuu yetu.
kazana kuota! haitatokea nakwambia!there is no way Raila ataongoza. nachoweza ombea kama shabik wa odinga ni kupunguza gap ili uhuru awe below 50% twende duru ya pili ya uchaguz.
ni kuchanganyikiwa! alazwe panapostahili!Police ajipiga risasi kichwani katika kituo cha kuhesabia kura wilayani Kisii mkoani nyanza Kenya
Mimi sitabiri, ila mshindi hapo Kenya ni R Odinga!! Matokeo yaliyopo sasa ni ya vituo 10,000 tu, kati ya vituo 33000!! Kulikobakia kuna wafuasi wengi wa Odinga! Kwa hiyo hakuna ubishi hapo!!!
Police ajipiga risasi kichwani katika kituo cha kuhesabia kura wilayani Kisii mkoani nyanza Kenya
citizen live 3:10
UHuru 2614446
Raila 2017746
wadadisi wa mambo wanasema kupitia citizen kuwa bado ni ngumu kusema chochote kwa mfumo wa utoaji wa matokeo