Marc Lemont Hill of Aljezeera.

Marc Lemont Hill of Aljezeera.

zebingwa

Member
Joined
Oct 6, 2024
Posts
43
Reaction score
87
Unamjua huyo mmarekani mwenye asili ya afrika? anaitwa Marc Lemont Hill aliwahi kufukuzwa CNN , eti ni profesa huyo yupo Aljazeera, teh teh
 
Alifukuzwa CNN kwa kuwa alisema palestina wanatakiwa kupata taifa lao,hii ni zaidi ya miaka mitano iliyopita
 
Kwahiyo hapo kosa lake ni lipi hasa?
Ya kwamba baada ya kufukuzwa CNN hakutakiwa kuajiliwa sehemu nyingine?
 
Unamjua huyo mmarekani mwenye asili ya afrika? anaitwa Marc Lemont Hill aliwahi kufukuzwa CNN , eti ni profesa huyo yupo Aljazeera, teh teh
Kama huna point ya kuleta kunywa maji ulale. Nyie ndiomba angusha uafrika
 
Kuna siku nilimsikiliza Al jazeera nikashangaa akili za kuiga ndizo zimemjaa bongoni... Watu kama hao huwa wanaitwa Masalakulangwa watu wenye akili za kufundishwa not natural. vipindi vyao ni propaganda ambazo hazifui dafu kwa Israel... piga propaganda weeee kama ukweli utabakia ukweli na kudumu na uongo haufui dafu utakwama tu.
 
Back
Top Bottom