mtupori2010
Member
- Sep 13, 2010
- 22
- 8
KUNA WAKATI NILIANDIKA MAKALA HII YA MARAIS WAVUMILIVU AFRIKA MASHARIKI FACEBOOK.
NILIYEMPA NAFASI YA KWANZA NI MH UHURU KENYATTA.
Orodha yangu ilikuwa hivi.
1. MH Uhuru Kenyatta
2. MH Paul Kagame
3. Mh kaguta Yoweri Museveni
4. Mh John Pombe Magufuli
5. Mh Pierre Nkuruzinza.
Kipimo changu kiliangalia uwezo wao wa kukabili media, kujieleza kwa wananchi wao na kutenda yaliyo ndani ya mamlaka yao bila kuathiri mihimili mingine ya kiutawala.
Jana imejidhirihisha wazi wakati Raila alipojiapisha kuwa rais wa mtaa - UHURU PARK!!!!
Nampongeza MH.Uhuru Kenyatta. Ndiye rais mvumilivu kuliko wote afrika mashariki.
He is the most tolerant president in east africa.
Tuna cha kujifunza kutoka kwake pamoja na ukweli kwamba, amezaliwa na kukulia ikulu.
KILICHOFANYIKA UHURU PARK KINGEKUWA HAPA TANZANIA LEO TUNGEKUWA TUNAOMBOLEZA WALIOJERUHIWA KAMA SIO KUUAWA.
Kumbukeni ya Zanzibar miaka 20 iliyopita!!!!!!!!!???!!?!
KUTOFAUTIANA KIITIKADI KUNAPANDIKIZWA MPAKA MIOYONI MWETU NA WANAOTUONGOZA!!!!!!!!!
HE HAS TAUGHT US A LESSON.
LET'S LEARN FROM KENYA, FROM CONSTITUTION TO PARTIES IDEOLOGIES.
NILIYEMPA NAFASI YA KWANZA NI MH UHURU KENYATTA.
Orodha yangu ilikuwa hivi.
1. MH Uhuru Kenyatta
2. MH Paul Kagame
3. Mh kaguta Yoweri Museveni
4. Mh John Pombe Magufuli
5. Mh Pierre Nkuruzinza.
Kipimo changu kiliangalia uwezo wao wa kukabili media, kujieleza kwa wananchi wao na kutenda yaliyo ndani ya mamlaka yao bila kuathiri mihimili mingine ya kiutawala.
Jana imejidhirihisha wazi wakati Raila alipojiapisha kuwa rais wa mtaa - UHURU PARK!!!!
Nampongeza MH.Uhuru Kenyatta. Ndiye rais mvumilivu kuliko wote afrika mashariki.
He is the most tolerant president in east africa.
Tuna cha kujifunza kutoka kwake pamoja na ukweli kwamba, amezaliwa na kukulia ikulu.
KILICHOFANYIKA UHURU PARK KINGEKUWA HAPA TANZANIA LEO TUNGEKUWA TUNAOMBOLEZA WALIOJERUHIWA KAMA SIO KUUAWA.
Kumbukeni ya Zanzibar miaka 20 iliyopita!!!!!!!!!???!!?!
KUTOFAUTIANA KIITIKADI KUNAPANDIKIZWA MPAKA MIOYONI MWETU NA WANAOTUONGOZA!!!!!!!!!
HE HAS TAUGHT US A LESSON.
LET'S LEARN FROM KENYA, FROM CONSTITUTION TO PARTIES IDEOLOGIES.