Marais watatu Nchi moja imeonekana wapi ?

Kiukweli nimecheka!. Serikali tatu hazina maana ya marais watatu!. Rais atakuwa ni mmoja tuu, rais wa JMT. Serikali ya Tanzania Bara itaongozwa na Makamo wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania Bara!. Serikali ya Zanzibar, itaongozwa na Makamo wa Pili wa Rais na Waziri Mkuu wa Zanzibar.

Naomba kuwahadhirisha hawa vitimbakwiri wapinga muungano wetu huu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kamwe hautavunjika!, Utadumu daima dumu na sana sana utaendelea kuimarika hadi serikali moja ambao Zanzibar itakuwa ni Mkoa wenye wilaya mbili za Unguja na Pemba, rais wa Zanzibar atakuwa ndiye Mhe. Mkuu wa Mkoa!.

Pasco.

Pasco,
Pokea tu li like langu ngosha. Huo ndo Muungano tunao utaka. Sio dagaa kummeza kambale hapana. Swali la kizushi; Je bunge hili linaweza kutuletea hilo au wameenda kupokea posho lukuki na kudai Ipad tuuu.
Mawazo kama haya ndo yangetawala badala ya serekali 3, za nini nasi tu wamoja wenye nia moja? Tupeni serekali moja tuu ya muungano na Rais mmoja tu akisaidiwa na Waziri nkuu na wakuu wa mikoa. Vyeo vya Marais kama wa Tff wapi na wapi? Mnaogopa nini?
 
lakini hata dubwasha la muungano la namna hii - nchi mbili zikaungana na moja ikafa nyengin ikabakia haijapata kutokea duniani. Only in Tanzania. Kwa hiyo hakuna cha kustaajabisha. kwa vile sisi ni wavumbuzi wa miundo ya muungano tarajia mfumo wowote ule unaweza kuvumbiliwa within these three months.
 
Mimi mwenyewe na shangaa kwanza itakuwa ni kisilani cha hali ya juu kweli yani nchi moja marais watatu mungu atuepushe na hili balaa.

Toka huko kwenye bunge la katiba kama unashangaa. Mimi napendekeza marais wa4 kwani hata kaskazini tunahitaji raisi wetu atakaye tawala mikoa ya kilimanjaro arusha manyara tanga.
 
Kumbe wanaotaka serikali 3 sawa na kusema 3-2=1 (yaani weka3 toa 2 ili tupate 1)ila hii njia ni ndefu sana.
 
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.

Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?

Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.

Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.

Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,

Nawakilisha.
umeona wapi nchi moja ina marais wawili??!!!!!!!
 
Kiukweli nimecheka!. Serikali tatu hazina maana ya marais watatu!. Rais atakuwa ni mmoja tuu, rais wa JMT. Serikali ya Tanzania Bara itaongozwa na Makamo wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania Bara!. Serikali ya Zanzibar, itaongozwa na Makamo wa Pili wa Rais na Waziri Mkuu wa Zanzibar.

Naomba kuwahadhirisha hawa vitimbakwiri wapinga muungano wetu huu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kamwe hautavunjika!, Utadumu daima dumu na sana sana utaendelea kuimarika hadi serikali moja ambao Zanzibar itakuwa ni Mkoa wenye wilaya mbili za Unguja na Pemba, rais wa Zanzibar atakuwa ndiye Mhe. Mkuu wa Mkoa!.

Pasco.
Hapana, kwa nini makamo wa kwanza atoke bara na wapili ndo awe kutoka Zanzaibar. Yaani ndo mmeshaiweka kama sheria vile lazima kama ni mwenyekiti atoke bara na makamo atoke zanzibar.
Sio kwamba nataka mfumo wa muungano uwepo hivyo ulivyouweleza Pasco, laa ninachokosoa ni hii tabia iliyokuwa ishajengeka mpaka kuwa kama sheria kwamba lazima bara mjipe "the best" na Zanzibar iwe the second.
 
Mimi mwenyewe na shangaa kwanza itakuwa ni kisilani cha hali ya juu kweli yani nchi moja marais watatu mungu atuepushe na hili balaa.
mkuu mbona haushangai sasa hivi tuna nchi moja lakini kuna marais wawili,katiba mbili,nyimbo za taifa mbili,bendera mbili na kila fujo mbili!
 
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.

Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?

Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.

Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.

Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,

Nawakilisha.

GAS kuvumbuliwa NCHINI inawavuruga akili watawala wa Nchi Wana CCM SHUPAVU... Macho yao yoote ni GAS kuibadilisha kuwa US DOLLARS kushibisha Upweke wa MATUMBO yao...

Wote waliopo Madarakani ndani ya CCM sasa hivi Wote Wamepita kwa MIZENGWE...
WILL of the GREEDY not WILL of the PEOPLE...
 
Kiukweli nimecheka!. Serikali tatu hazina maana ya marais watatu!. Rais atakuwa ni mmoja tuu, rais wa JMT. Serikali ya Tanzania Bara itaongozwa na Makamo wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania Bara!. Serikali ya Zanzibar, itaongozwa na Makamo wa Pili wa Rais na Waziri Mkuu wa Zanzibar.

Naomba kuwahadhirisha hawa vitimbakwiri wapinga muungano wetu huu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kamwe hautavunjika!, Utadumu daima dumu na sana sana utaendelea kuimarika hadi serikali moja ambao Zanzibar itakuwa ni Mkoa wenye wilaya mbili za Unguja na Pemba, rais wa Zanzibar atakuwa ndiye Mhe. Mkuu wa Mkoa!.

Pasco.

Huo ndio utakua muungano hii mingine ni tamaa na uchu wa madaraka.
 
Hapana, kwa nini makamo wa kwanza atoke bara na wapili ndo awe kutoka Zanzaibar. Yaani ndo mmeshaiweka kama sheria vile lazima kama ni mwenyekiti atoke bara na makamo atoke zanzibar.
Sio kwamba nataka mfumo wa muungano uwepo hivyo ulivyouweleza Pasco, laa ninachokosoa ni hii tabia iliyokuwa ishajengeka mpaka kuwa kama sheria kwamba lazima bara mjipe "the best" na Zanzibar iwe the second.

Mkuu Manyimbo, sio suala la kujipa, its a fact, kuna the best na the second best!.
Si umeona bunge la katiba!, huo ndio mpango mzima!, tunajifunza kwa makosa!, tumeishajifunza nsa lile kosa hivyo nafasi ya Zanzibar ndani ya muungano ni makamo wa rais, jukumu lake likiwa kuzunguka na mikasi na kumwakilisha rais!.
Pasco.
 
Katika uwandikaji wa katiba mpya, Mategemeo yetu watanzania kupata katiba mpya ambayo itayaokuja na mfumo mpya wa muungano, ingawa katika rasimu imependekeza serikali tatu, bado rasimu hii ina mapungufu makubwa.

Kwanza nchi kuongozwa na marais watatu, naona mfumo huu sijawahi kuona ulimwenguni, na kama ipo nchi moja ambayo inaongozwa na marais watatu basi Jaji Warioba atueleze nchi gani hiyo, kwa maelezo yake katika utungaji amesema kwamba amechulia mifano ya nchi nyegine ambazo zimefanya marekebisho wa katiba zao au kuandika katiba mpya na ndio huko wameweza pia kupata muuongozo, jee suali huu utaratibu wa kuwa na marasi wanne umepatikanwa wapi ?

Mapendekezo yetu ni kwamba Serikali ya Muungano iyongozwe na Katibu Mkuu na sio raisi, ili kuweza kupewa nguvu zao Rais wa Zanzibar na Tanganyika.

Pili Mambo ya nje na uhamiaji na Uraia hivyo hivyo yangerudishwa kwa Nchi shirika za Muungano, Yaani Tanganyika na Zanzibar.

Tatu Suala la ulinzi na Bank kuu halikadhalika kurudishiwa katika washirika wa muungano kusimamiwana wao wenyewe,

Nawakilisha.
Rais wa Jamhuri ana nguvu gani upande wa Zanzibar? na kama anazo nguvu za kiutendaji; sasa rais wa Zanzibar wa kazi gani? Na ili kuwepo na full authority kwa rais wa Zanzibar basi awepo na Rais wa Tanganyika mwenye full authority kwa Tanganyika. Masuala ya Muungano yashughulikiwe na Federal body itakayoundwa na hizi nchi mbili.
 
Mkuu Manyimbo, sio suala la kujipa, its a fact, kuna the best na the second best!.
Si umeona bunge la katiba!, huo ndio mpango mzima!, tunajifunza kwa makosa!, tumeishajifunza nsa lile kosa hivyo nafasi ya Zanzibar ndani ya muungano ni makamo wa rais, jukumu lake likiwa kuzunguka na mikasi na kumwakilisha rais!.
Pasco.

ndugu Pasco, kwa vile nia zenu sio safi na huu muungano wenu wa magubegube, nakuambia si muda mrefu kabla hatujawa majirani wema baina ya nchi zetu hizi mbili na kubakia tukisalimiana hapa JF.
 
Kiukweli nimecheka!. Serikali tatu hazina maana ya marais watatu!. Rais atakuwa ni mmoja tuu, rais wa JMT. Serikali ya Tanzania Bara itaongozwa na Makamo wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania Bara!. Serikali ya Zanzibar, itaongozwa na Makamo wa Pili wa Rais na Waziri Mkuu wa Zanzibar.

Naomba kuwahadhirisha hawa vitimbakwiri wapinga muungano wetu huu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kamwe hautavunjika!, Utadumu daima dumu na sana sana utaendelea kuimarika hadi serikali moja ambao Zanzibar itakuwa ni Mkoa wenye wilaya mbili za Unguja na Pemba, rais wa
Zanzibar atakuwa ndiye Mhe. Mkuu wa Mkoa!.

Pasco.

Kama mapinduzi yamefanyika , Zanzibar haiwezi kuwa mkoa wa Tanganyika hata mfanye nini, Zanzibar ipo na itaendelea kuwepo, wale anti-Zanzibar sentiments ukiwemo wewe Pasco, tunakwambieni go to hell....f**** haters.
 
Kama mapinduzi yamefanyika , Zanzibar haiwezi kuwa mkoa wa Tanganyika hata mfanye nini, Zanzibar ipo na itaendelea kuwepo, wale anti-Zanzibar sentiments ukiwemo wewe Pasco, tunakwambieni go to hell....f**** haters.
Mshukuru Field Marshal Okelo sio unashabikia tu mapinduzi fool
 
Zanzibar kwanza , kizazi cha sasa cha Kizanzibar sio kizazi cha kupandikiza chuki sijui wewe mpemba wewe muunguja, sijui sultani atarudi , sijui zambi ya ubaguzi na unyerere, bullshit, tunataka Zanzibar yetu huru , hakuna cha CUF,CCM,CHADEMA wala siasa, zanzibar huru tutairejesha sisi wazanzibar kwa sasa tuko wamoja tunajua mbinu zenu Wadanganyika za uongo na vitisho.
 
katika rasimu hii, sura ya 6, ibara ya 64 kipengele no 5 nanukuu " nchi washirika zitkuwa na hadhi sawa katika mambo yanayohusu muungano........" Hiki ndicho kitakacchoua muungano hasa pale tutakapohitaji michango sawa kutoka kilaa upande kuendesha serikali ya muungano. Duh, na hakika hivi tu wanalalamika, watakapojikuta liinchi lenye people 40m linachangia sawa na lile leye 2m. watajitoa maana hailipi?
 
Kama mapinduzi yamefanyika , Zanzibar haiwezi kuwa mkoa wa Tanganyika hata mfanye nini, Zanzibar ipo na itaendelea kuwepo, wale anti-Zanzibar sentiments ukiwemo wewe Pasco, tunakwambieni go to hell....f**** haters.

ndugu kwanza kabisa mshukuru Field marshal Tito Okelo,na ukiweza uka hani kabuli lake!
 
Kinachochekesha mkiitwa Watanganyika mnakasirika yaani mnakataa asili yenu na mnasahau kwamba mkataa kwao ni mtumwa.
 
Back
Top Bottom