pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Hawa maraisi walifanya makubwa sana tena sana tofauti na makufuli wenu amini hilo!
tatizo la hawa wazee hawakuwa;
watu wa kijimwambafai
kupenda sifa
kupenda kujionyesha
walikuwa na mifumo ya kufanya kazi tofauti na makufuli hakuwa na mfumo alikuwa akitaka aonekane yeye tu.
Kupenda kusifiwa ktk kila kitu.
hawakuwa waongo kama makuful;i wako.
tatizo la hawa wazee hawakuwa;
watu wa kijimwambafai
kupenda sifa
kupenda kujionyesha
walikuwa na mifumo ya kufanya kazi tofauti na makufuli hakuwa na mfumo alikuwa akitaka aonekane yeye tu.
Kupenda kusifiwa ktk kila kitu.
hawakuwa waongo kama makuful;i wako.