Ni zamu yetu sasaMapejhee wa kuvaa Mikufu kama Minyororo ya kufungia mageti, Mipete vidole nane vyaMikono, Simu nne za mitandao yote, Bangili za shaba mikononi hawapo tena
Shaibu Mapajelo
Fikiri Madinda
Alex Masawe
Papaa Msofe n.k
Ilikuwa ukienda Twanga pepeta mtu anapanda kwny steji anawatunza akina Lwiza Foreign currency kama sio dola pound kama sio pound basi Euro kumbe utapeli utapeli tu!
Mwenye haki ataishi kwa imani..vinginevyo kazi ipoNi zamu yetu sasa
Watu watakuwa wabunifu zaidiMwenye haki ataishi kwa imani..vinginevyo kazi ipo
Wabuni tupo sana but uwezeshaji haupo nchi hiiWatu watakuwa wabunifu zaidi
Kuna wimbo nasikiliza hapa wanamtaja Dulla kibalasi..rais wa madereva...eehMapejhee wa kuvaa Mikufu kama Minyororo ya kufungia mageti, Mipete vidole nane vyaMikono, Simu nne za mitandao yote, Bangili za shaba mikononi hawapo tena
Shaibu Mapajelo
Fikiri Madinda
Alex Masawe
Papaa Msofe n.k
Ilikuwa ukienda Twanga pepeta mtu anapanda kwny steji anawatunza akina Lwiza Foreign currency kama sio dola pound kama sio pound basi Euro kumbe utapeli utapeli tu!