Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,531
Baba yakeGeorge W Bush si ndiye tulitangaziwa amefariki
Baba yakeGeorge W Bush si ndiye tulitangaziwa amefariki
Mkuu kama ndo hivyo mbona tumeshaingia toka kipindi cha chanjo ya ndui, polio sijui nini. Watoto wetu wanakula chanjo kama zote.New World Order initiated, Mwana wa Adamu yu karibu kutwaa wateule amkeni miamba
This will be mondatory hamtatoka bila hio itakua ndio kama pass ya kusafiriaMkuu kama ndo hivyo mbona tumeshaingia toka kipindi cha chanjo ya ndui, polio sijui nini. Watoto wetu wanakula chanjo kama zote.
Ila walimwengu wa sikuhizi wanapenda saba kuwa watu wa mapokeo. Kila kitu kinahusishwa na hayo makitu.
Nielimishe unaelewaje maana ya New World Order.
What will be mandatory?This will be mondatory hamtatoka bila hio itakua ndio kama pass ya kusafiria
Vaccine mkuu fungua macho mkuu wao wajidunge halafu wewe ugome alafu ujichanye nao , we ngoja tu ikianza hio shughuli mtakaogoma wote mnapigwa pin kusafir then mnanyimwa misaada na njaa zenuWhat will be mandatory?
Mbona unaongea vitu vya kufikirika sana?
Hakuna kitu kama hicho, chanjo ni hiari ndo maana hata wao hawalazimishwi.Vaccine mkuu fungua macho mkuu wao wajidunge halafu wewe ugome alafu ujichanye nao , we ngoja tu ikianza hio shughuli mtakaogoma wote mnapigwa pin kusafir then mnanyimwa misaada na njaa zenu