Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Asante Lizzy, Rafiki ni mtu wa thamani sana na ndio maana tunatakiwa kuwa makini na mtu tunayemwita rafiki na kumtambulisha kama rafiki. Kwani kuna watu wanatumia loop ya kutambulishwa marafiki baadae wanakuchafua na unaonekana na wewe ni hivyoulivyo. Utasikia aah, kwanza yule jamaa nimejuana naye juzijuzi tu! Why tunawatambulisha kama marafiki while we don't know them? A real Friends are always there for you .