Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Bubu...Tatizo si Kikwete ni Mfumo Mzima....We need overall Change....Who is Clean in CCM?
Chuma, tatizo kubwa zaidi ni Rais, kwa Mamlaka aliyonayo Kikatiba anaweza kuufumua mfumo huo unaodai kuwa ndo tatizo. Kwani mfumo huwekwa na nani si serikali? na Mkuu wa Serikali ni nani? Si Rais... huyo ndo tatizo.