Wingi wa watu kuhudhuria mikutano sio lazima wawe wote wanakukubali. Hapo wapo mchanganyiko wengine ni wasikilizaji tu, wengine wa vyama vingine. Na NOTE kuwa hali ngumu ya maisha inawavuta watu wengi kuja kusikiliza kama kuna jipya la kuwaboreshea maisha na sio kwamba wataamini kila unalosema. Wanapima, wanachuja. Hivyo wingi wa mahudhuria si hoja.
I hate you kikwete, i hate you very much!
I hate you kikwete, i hate you very much!
swala hapa ni wingi wa watu tu! hiyo kukubali au kukataa ni issue nyingine. unadhani wanaohudhuria kwingine huwa wote wanakubali au wanakataa?
Mwanasiasa gani Tanzania anayeweza kuvutia umati mkubwa namna hii bila watu hao kuhongwa? Mimi nakumbuka nilikuwa Jamhuri stadium Dodoma mwaka 1989 au 1990 Nyerere akiagwa alipoamua kuachia uenyekiti wa chama na wakati alipohutubia baada ya Madiba kutoka gerezani. Sijaona nyingine tena kama hii.
chadema chama changu
Silaa rais wangu!!
Mwanasiasa gani Tanzania anayeweza kuvutia umati mkubwa namna hii bila watu hao kuhongwa? Mimi nakumbuka nilikuwa Jamhuri stadium Dodoma mwaka 1989 au 1990 Nyerere akiagwa alipoamua kuachia uenyekiti wa chama na wakati alipohutubia baada ya Madiba kutoka gerezani. Sijaona nyingine tena kama hii.
Wingi wa watu kuhudhuria mikutano sio lazima wawe wote wanakukubali. Hapo wapo mchanganyiko wengine ni wasikilizaji tu, wengine wa vyama vingine. Na NOTE kuwa hali ngumu ya maisha inawavuta watu wengi kuja kusikiliza kama kuna jipya la kuwaboreshea maisha na sio kwamba wataamini kila unalosema. Wanapima, wanachuja. Hivyo wingi wa mahudhuria si hoja.
Silaa Rais wako? Wa nchi gani?
Siku zote ukiwa muongo muongo na msanii ndio unapata umati wa watu kukusikiliza, hakuna cha zaidi.
Mara oooh Dowans ya Kikwete, mara ooohhh Mkuu wa mkoa kafa. Mara ooohhhh, nimeoa mke wa pili!
Duhhh! Hata Nyerere alikuwa akivuta umma mkubwa sana watu, lakini ikifikia kwenye utendaji ni ZERO.
Wewe una mawili, Haujasoma kabisa (hata chekechea) au umesoma kwa kukariri. Jibu swali MARA YA MWISHO ULIONA UMATI GANI MKUBWA WA MWANASIASA WA HAPA TANZANIA, AMBAYE HAJAWAKODIA WANANCHI MAGARI YA MJI MZIMA KUWAPELEKA KWENYE MKUTANO, HAJAWAHONGA WANANCHI MA-TISHIRT, KANGA, VITAMBAA ILI WAHUDHURIE, bali wameenda wenyewe.
Watu wenye makosa ya kiutawala kama wewe na wifi yako kikwete siku zote tutawajua tu, kila kitu nyie mnajua kujihami tu bila kuangalia kilichosemwa.
Mkuu UTINGO, kiu'kweli, nimeshasahau hata ni lini mara ya mwisho kuona umati mkubwa namna hii wa watu, ambao hawajahongwa, hawajakodiwa mabasi kwenda kwenye mikutano, hawajapewa tshirt, kanga, vitambaa, kuhudhuria mkutano wa mwanasiasa yoyote tanzania, nimesahau kwakweli.
Aahhh kumbe ni chuki tu binafsi, hakuna zaidi.