Mara ya Mwisho kuachwa/kuacha

Mimi sijui hata kama nilishawai kuacha au kuachwa,uwa naona tu hatupo pamoja na maisha yanaendelea.
 
Mo hata simuelewi uyu mwanamke wa chuo naona tu kila mtu kmya tunaonana kwny ku view status tu basi sjui tuko pamoja au vp

yess BiShoo haswaaAaa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom