funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Jamani najua kila mtu hapa ana uhusiano na mwenza wake na wengine ndoa kabisa. Hebu tukumbushane siku ya kwanza kabisa unafanya ngono na mwenza wako wa kwanza kabisa hali ilikuwaje kuhusu wasiwasi/ uoga/ presha na mangineyo yalikuwaje?
mimi nakumbuka siku ya kwanza baada ya kuwa mtu kamili (achilia mbali za kinguo nguo) nilitokwa na jasho mpk demu akaniuliza una tatizo gani, ikabidi nimwambie ukweli kuwa sijawahi so baada ya hapo alinipa somo la kutosha halafu akawa ananitafuta mara kwa mara kunipa raha mpk nilipopata utaalamu ambao umenifanya nimekuwa mkongwe mpk leo
mimi nakumbuka siku ya kwanza baada ya kuwa mtu kamili (achilia mbali za kinguo nguo) nilitokwa na jasho mpk demu akaniuliza una tatizo gani, ikabidi nimwambie ukweli kuwa sijawahi so baada ya hapo alinipa somo la kutosha halafu akawa ananitafuta mara kwa mara kunipa raha mpk nilipopata utaalamu ambao umenifanya nimekuwa mkongwe mpk leo