Mara ya kwanza ugenini, visa na vituko

Mara ya kwanza ugenini, visa na vituko

Alikuwa hajastaarabika wala hana "table manners", utaanzaje kula kabla ya wenyeji na wewe ni mgeni? ni punguani tu afanyae hivyo.
Table manners kijijini? Wazazi wangu wenyewe hawazijui sembuse mimi?Tunajifunza kupitia makosa.Table manners ndo ustaarabu? Usukumani hakuna cha karibu ukikuta jamaa wanakula unaliuunga tu na huo ndio ustaarabu uliotukuka kwa watu wa jamii yangu.
 
Ndiyo ukaamua ufakamie na kujishindilia kabla ya wenyeji hawajakaa mezani? ni upunguani huo.
Niliambiwa nijongee mezani nikapate chakula.We ulitaka nikapige nacho picha,nimetoka safari niwasubiri wenyeji wangu mezani mpaka usiku wa manane?.Mara nyingi huwa sina mzaha wala utani linapofikia suala la chakula.
 
Niliambiwa nijongee mezani nikapate chakula.We ulitaka nikapige nacho picha,nimetoka safari niwasubiri wenyeji wangu mezani mpaka usiku wa manane?.Mara nyingi huwa sina mzaha wala utani linapofikia suala la chakula.

Huna maadili mema, lakini asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu.

Kula uliwe! si hauna "utani linapofikia suala la kula".
 
Table manners kijijini? Wazazi wangu wenyewe hawazijui sembuse mimi?Tunajifunza kupitia makosa.Table manners ndo ustaarabu? Usukumani hakuna cha karibu ukikuta jamaa wanakula unaliuunga tu na huo ndio ustaarabu uliotukuka kwa watu wa jamii yangu.

Table manners zipo hadi vijijini labda ni kwenu tu ndio hamna maadili ya kula.

Mikono unanawa au unafakamia ukikuta watu wanakula?
 
Huna maadili mema, lakini asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu.

Kula uliwe! si hauna "utani linapofikia suala la kula".
Ndo ulimwengu ulinifunza na lengo la uzi huu lilikuwa ni kushare visa tunavyokutanana navyo ugenini.Haya ya upunguani,kula uliwe na maadili mema sijui yanatoka wapi?.Dalili zinanionesha we ni mtu mwenye roho mbaya sana,kuanzia sasa nakuepuka kama ebola.
 
Unasound kama yule mjukuu wa bibi nakumbuka alipenda kumwambia dada yake mgeni mwenyewe hana hata pozi ingawaje mwishoni alitokea kunikubali sana na mpaka leo ni mabestee vibaya munoo.

Ha ha huna pozi loh
 
Niliambiwa nijongee mezani nikapate chakula.We ulitaka nikapige nacho picha,nimetoka safari niwasubiri wenyeji wangu mezani mpaka usiku wa manane?.Mara nyingi huwa sina mzaha wala utani linapofikia suala la chakula.

Jamani upige picha loh
 
Ndo ulimwengu ulinifunza na lengo la uzi huu lilikuwa ni kushare visa tunavyokutanana navyo ugenini.Haya ya upunguani,kula uliwe na maadili mema sijui yanatoka wapi?.Dalili zinanionesha we ni mtu mwenye roho mbaya sana,kuanzia sasa nakuepuka kama ebola.

Ha ha ha uwiiiii usiku mwema
 
Ha ha huna pozi loh
Kuzaliwa bush acha tu mkuu,kila kitu unaona maajabu tuu watu wanakugeuza kichekesho chao.Thanx God namimi niko mjini sasa.Sasa hivi sio tu kuwa nina pozi bali hadi swagger.
 
Kuzaliwa bush acha tu mkuu,kila kitu unaona maajabu tuu watu wanakugeuza kichekesho chao.Thanx God namimi niko mjini sasa.Sasa hivi sio tu kuwa nina pozi bali hadi swagger.

Ha ha hongera
 
Na wewe pia nataka nikusanye sahihi 20,000 za wanajf ili kumuondoa jamvini huyu Faiza foxy,ya kwako ya kwanza.Unasemaje?

Ha.ha ha...!!! FaizaFoxy mwache tu watu kama yeye ni muhimu sana ujue ...
 
Last edited by a moderator:
Ndo ulimwengu ulinifunza na lengo la uzi huu lilikuwa ni kushare visa tunavyokutanana navyo ugenini.Haya ya upunguani,kula uliwe na maadili mema sijui yanatoka wapi?.Dalili zinanionesha we ni mtu mwenye roho mbaya sana,kuanzia sasa nakuepuka kama ebola.

Sasa ulijifunza nini? zaidi ya kujifunaza maadili mema? kama umekubali ulijifunza basi ujuwe ulikuwa na mapungufu aka punguani.

Kula uliwe - courtesy Jakaya Mrisho Kikwete.

Si umeandika mwenuewe kuwa huna utani kwenye chakula? hata ukikaribishwa wewe unfakamia tu, ndiyo nikakumbusha maneno ya Mheshimiwa Rais wa JMT; Kula Uliwe.

Sasa hujayapenda hayo ndiyo maana unatafuta niondolewe, basi utatuondoa wengi tusemao ukweli.
 
Alikuwa hajastaarabika wala hana "table manners", utaanzaje kula kabla ya wenyeji na wewe ni mgeni? ni punguani tu afanyae hivyo.

Tusimuhukumu haraka haraka namna hii! hakuna aliyezaliwa anajua kila kitu bila kufundishwa, mwenzetu mazingira na utamaduni wa mezani wa alikotokea ndivyo ulivyo mhakikishia kuwa kile chakula ni cha kwake mwenyewe.tunavyoelewa vijijini huwa tunakula kwa pamoja na ukubwa wa ugali na wingi wa mboga na vitoweo huwa ni vingi kweli kweli (kwa wale wafugaji na wakulima wazuri) sasa ndugu yetu huyu alipo ambiwa "nenda mezani ukale chakula" ni wazi kuwa hii sentensi ilimuaminisha kuwa ni yeye tu ndiye aliye andaliwa kile chakula kwa mujibu wa utamaduni wa alikotokea.kosa ni la wenyeji wake walitakiwa kumuwekea mazingira ya kutokupata aibu maana naamini hata wao walifundishwa hizo mila za kula kwa kujibana siku walipowasili mijini kutokea vijijini. hata huyu mwenzetu alithibitisha kuwa tokea siku ile aliamuua kuwa wa mwisho kufunua hot pot! alijifunza. hata wewe kuna mambo ulikuwa huyajui kuhusu hizo sijui table manners ni umefundishwa au ulijishtukia ukajifunza mwenyewe! uwe na siku njema!
 
Tusimuhukumu haraka haraka namna hii! hakuna aliyezaliwa anajua kila kitu bila kufundishwa, mwenzetu mazingira na utamaduni wa mezani wa alikotokea ndivyo ulivyo mhakikishia kuwa kile chakula ni cha kwake mwenyewe.tunavyoelewa vijijini huwa tunakula kwa pamoja na ukubwa wa ugali na wingi wa mboga na vitoweo huwa ni vingi kweli kweli (kwa wale wafugaji na wakulima wazuri) sasa ndugu yetu huyu alipo ambiwa "nenda mezani ukale chakula" ni wazi kuwa hii sentensi ilimuaminisha kuwa ni yeye tu ndiye aliye andaliwa kile chakula kwa mujibu wa utamaduni wa alikotokea.kosa ni la wenyeji wake walitakiwa kumuwekea mazingira ya kutokupata aibu maana naamini hata wao walifundishwa hizo mila za kula kwa kujibana siku walipowasili mijini kutokea vijijini. hata huyu mwenzetu alithibitisha kuwa tokea siku ile aliamuua kuwa wa mwisho kufunua hot pot! alijifunza. hata wewe kuna mambo ulikuwa huyajui kuhusu hizo sijui table manners ni umefundishwa au ulijishtukia ukajifunza mwenyewe! uwe na siku njema!

Midlife crisis inamsumbua huyo mwache atakuharibia siku
 
Back
Top Bottom