cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,554
- 138,799
Sio Man city na Madrid?Nimefanyaje jomooni wizo
Njoo tucheck game la Ars na Bayern bas
Sio Man city na Madrid?Nimefanyaje jomooni wizo
Njoo tucheck game la Ars na Bayern bas
Ndio km hayo ya maporini chaka to chaka km kwa shangazi big 😂😂😂na mazingira pia.
Kote kunawaka moto udugu 😂😂😂Sio Man city na Madrid?
Kama anajiamini ni msafi aseme tumletee hata wawili tu tuone kama watakimbia kisa usafi wake.Hata mimi kabla nilikuwa na mawazo kama yako, anyway subiri siku wakupitie!
Kauli za kijasiriHao wanapenda asili yao kupenda kujificha sehemu chafu, na ukiona wanaendelea ujue ww uliyewabeba pia sio msafi.!!
Hivi uwe unafanya usafi mara kwa mara sehemu zilizojificha au kupulizia dawa kuna mdudu atakaa hiyo sehemu??
Ukiona umebeba kunguni huko mnakowatoa na ukaenda nao kwako na wakazaliana inatakiwa km familia mjitafakari..!!
Hii unachanganya vipi?Vile viumbe vina roho ya paka, ila mafuta ya taa, sabuni na chumvi ni komesha!
We are alike. Mimi nikiwa nadni sipendi kuona movement ya mdudu wa aina yoyote. Hata nzi nikimuona tu lazima afe au atoke nje.Mungu nisaidie kwa jinsi ambavyo sipendi kero 🥹🥹 Mimi akiingia nzi mmoja ndani situlii hadi nihakikishe nimemtoa. Nadhani kuna namna nina shida kichwani, ile push nayopataga kudeal na wadudu si ya kawaida 🥲
Kuhusu hawa jamaa sijawahi kuwaona, na naomba Mungu waendelee kuniepuka.
Pole sana, kwahiyo umefanyaje?
SawaUsipende kulala guest house au lodge za bei rahisi karibu na Stand kubwa za mabasi.
Mwanza naikoa jirani kunaongoza kunguni.
Duuh 🤔, sawa mkuu nimekuelewaOh! Wanataga mayai kwenye maungio ya kitanda au mipasuko/nyufa za mbao za kitanda au kwenye godoro la sponge. Utayaona mayai yake kama vitufe vidogo-vidogo sana vyeupe vilivyopangana pamoja. Sio rahisi kuyakung'uta ili yadondoke. Huwa yameng'ang'ania hapo. Wakianguliwa ndo hapo utajua shughuli yake. Si mchezo- hutolala labda uwe umejidunga k-vant au kitu kinachofanana kama hicho.
Jamani wewe😃😃Nita kutumia ka kopo kaliko jaa 😄😄
Miaka miwili mnateseka na kunguni,????Nilibeba mbegu Kutoka shule seminary nikapeleka nyumbani chumbani kwangu 😥 nilijuta ata kwenda kusoma seminari Ile ilinichukua miaka miwili ya mahangaiko Mimi na mama yangu jaribu dawa hii.. jaribu hii
Hii maji ya moto infanya kazi 100% kabla hujalala chemsha maji mwaga kuzunguka kitanda chako linamoishia godoro. hatobaki hata mmoja.,Back days nikiwa naanza maisha nilinunuaga kwa jamaa yangu kwa 90k, kitanda ambacho normally bei yake ni around 150k
Baada ya kuweka godoro langu na kulala usiku mmoja nilijua kwanini niliuziwa hiyo bei.
Kulikuwa na Kunguni wengi vibaya mno around 1 Million, ilibidi niwaue siku 5 mfululizo kwa maji moto, maana walikuwa wananiudhi mnoo.
In short, Huwa Sishauri sana kununua Vitanda au Godoro Used.
Kunguni hawajui ushua wala ukapuku.Sijawahi kukutana na kunguni, labda sababu mimi ni wa kishua.
Bed bugs ni noma. Wazee wa kulala nyumba za wageni, mtawapelekea wake zenu sio magonjwa tu ila na kunguni piano