Mara ya kwanza kukutana na mpenzi wa kwenye social network

mhogo mtamu3

JF-Expert Member
Mar 30, 2016
344
250
Nakumbuka mwaka 2011 nilienda kukutana na bi mdada wa Facebook pande za mwanza nikiwa na matumaini kibao kuwa naenda kumit na Kim Kardashian.
Ila nilichokutana nacho ni tofauti na nilichofikiria mana ilibidi rafiki yangu azuge ndo mimi mana mi kusepa kisa binti kuwa polygon . We unakumbuka nini rafiki siku ya kwanza kumit na mpenz wa social network?
 
Ishawahi nitokea mwaka 2010. Nilipokutana naye nilichoka. Ukawa mwanzo na mwisho
 
Nakumbuka mwaka 2011 nilienda kukutana na bi mdada wa Facebook pande za mwanza nikiwa na matumaini kibao kuwa naenda kumit na Kim Kardashian.
Ila nilichokutana nacho ni tofauti na nilichofikiria mana ilibidi rafiki yangu azuge ndo mimi mana mi kusepa kisa binti kuwa polygon . We unakumbuka nini rafiki siku ya kwanza kumit na mpenz wa social network?
Kiukweli mie jf ndio iliniunganisha nae na nilikua nae muda mrefu kiasi chake mpaka basi, nashukuru kwa yote maana najua atakuja pia hapa siku moja kupasoma. Nitamuheshimu Sana maana nilivyokua namvhukulia ndio sivyo.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Mwaka 2000 nikikutana naye kupitia gazeti la kiu alikuwa mfupi mnene ndo kwakheri ilikuwa mabatini mwanza
 
Back
Top Bottom