Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 798
...na sisi Ukara tunataka mamba wetu na lile jiwe linalocheza ukiliimbia! ehhee tuone sasa nani kubwa kuliko!!!
:target:
:target:
Kuvuta Bange bila kula kunaweza kusababisha akili kujamba(Brain fart) na matokeo yake ndio kumwaga ushuzi wa kifikra jamvini.na sisi wachagga tunataka redio one yetu,itv yetu,capital redio yetu,crdb bank yetu,tra yetu,precion air yetu,bot..yetu ,bia ya kilimanjaro yetu,maji ya kilimanjaro yetu,ambiance club yetu,club billcanas yetu,chuo chetu cha muccobs,chuo chetu cha kcmc,nchi yetu ya kilimanjaro,chuo chetu cha police training.........sasa jiulizeni na sisi tukiamua kufanya hivi mtaishi vipi ...maaana hivi vyote vyetu.....kamoon chezea wachagga wewe.....
Kuvuta Bange bila kula kunaweza kusababisha akili kujamba(Brain fart) na matokeo yake ndio kumwaga ushuzi wa kifikra jamvini.
Kwa vile sasa hivi kila watu wameanza kudai rasilimali zilipo kwenye eneo lao na sisi wana Mara tunataka dhahabu yetu ili tuwe wa kwanza kunufaika nayo kwanza.
Na sisi Pwani tuanataka Taarabu yetu! LOL!
Aaaaaaah mambo yenyewe ndiyo hivyo, na sisi ( wasukuma, wahaya, wajita, wakerewe, wasubi, wajaluo na ......wajitokeze kwa mshikamano) Tunataka maji yetu ya ziwa Victoria yasipelekwe kokote tunayahitaji kwa ajili ya umwagiliaji na umeme kwenye maporomoko ya mto Kagera. chezea ​Lake Province weye.
na sis wazaramo hii dar n yetu muondoke wote mrudi vijijin mwenu mtuachie tujivinjari maana folleni mnaijaza nyie sie wala twacheza bao tu.....