Mmmh... Wewe ndie mtunzi nini?? Kama ndio nitumie hiyo DVD...
hizi mada zingine hiziii.....!
Dada mimi nimeleta kile nilichokiona kupitia hiyo filamu wala mimi si mshiriki wala mtunzi, lakini maoni yako nitayafikisha wa wahusika...Mara moja tu!!!
Hii inaangamiza wote kaka,kuna wanawake waliokuwa salama wakaambukizwa kwenye hiyo mara moja tu!!
Ume sound kama wanawake ndio kisima cha maambukizi wanaume wanaenda kuchota tu kitu ambacho si kweli......
Dada mimi nimeleta kile nilichokiona kupitia hiyo filamu wala mimi si mshiriki wala mtunzi, lakini maoni yako nitayafikisha wa wahusika...
tuma kabisa M-pesa ya elfu arobain
Ok, poa basi nitumie 80,000/= afu nikupe 40,000/=