MARA: Mbunge wa Serengeti(CHADEMA), Mwl Marwa Ryoba Chacha ajivua uanachama na kujiunga CCM

Jamaa kagundua kua hata uchaguzi ukiitishwa Chadema watasusia atapita bila kupingwa.

Tubadili katiba, kama mtu anataka kuhama chama ahame bila kutuingiza kwenye hasara za uchaguzi.

Nchi hii bado masikini, vipaumbele ni vingi sana, pesa iende kwenye mambo ya msingi na sio kila siku ni uchaguzi.

By t way kuna majimbo zaidi ya 150 ya yanayoongozwa na ccm toka 2015, wabunge wake wanaunga mkono CCM since then, sioni tofauti yake ya maisha na majimbo yasiyo ya CCM. Kuunga mkono au kutounga sijaona tofauti.

Tufanye wabunge wote wa upinzani waunge mkono jitihada za rais, je itabadili hali yetu ya maisha na kua mazuri zaidi, Tanzania itaanza kutiririka maziwa na asali? Kwamba kutokuunga mkono ndio kunazuia hayo?

Mwalimu alipambana na matatizo kama ujinga, maradhi, nk lakini hili la ujinga bado ni tatizo. Mtu anasema akiunga mkono analeta maendeleo, mbona maendeleo hayapo kwenye wabunge ambao ni wa ccm toka 2015?
Asante kwa maoni murua. Nimefarijika sana. mimi hili ndilo limekuwa swali langu tokea projekti ya 'kuunga mkono" ilipoanza.
JPM anataka kuua upinzani lakini anasahau kuwa kama usingekuwa upinzani imara tulipokuwa tumefikia mwaka 2015, hata yeye hakuna ambaye angemkumbuka kumleta kugombea!! Kwa hivyo akiishamaliza upinzani, atakauwa ni yeye pekee anayeamua nani awe mrithi wake!!
 
Elimu bure, ujenzi wa SGR, miradi ya ujenzi wa vituo vya afya na uboreshaji wa hospital nchini, miradi ya upatikanaji wa maji kwa wananchi mjiji na vijijini, miradi ya usambazaji umeme Mjini na Vijijini, vita dhidi ya ufisadi, rushwa na dawa za kulevya, usimamizi wa nidhamu na uwajibikaji kwa watendaji na watumishi wa umma, uzalishaji umeme wa gharama nafuu nk
Hapo kwny vita dhidi ya ufisadi na rushwa na Bashite yupo au??
 
Intelligence ya chadema imefubaa sana watu kama hawa ni wakuwapiga chini kabla ya wao kuamia
 
Mkuu mbona unashangaa? Magufuli ni rais mzuri mno,hana kasoro yoyote ile,na Tanzania haitapata rais bora kama Magufuli,tangu aingie madarakani uchumi wa Tanzania umepaa kwa 45%,ajira zimeongezeka kwa 38%, Demokrasia imeshamiri,Uhuru wa vyombo vya Habari umekua,sasa kwa nini wapinzani wasimuunge mkono?
Napendekeza Magufuli atawale milele.
CCM HOYEEEEEEEE......!!!
HAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Matter exists in three states: solid, liquid and gaseous. The solid state is the most stable state while the gaseous state is the most unstable state. By all accounts, CCM is in the solid state now while CHADEMA has never been there. Although CHADEMA was solidifying fast in the period from 2007 through 2014, since then she has been evaporating at an alarming rate towards pure gaseous form. Big lesson here is that political enterprising never works!!
 

Mbunge wa jimbo la Serengeti kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Marwa Ryoba Chacha amejivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) muda mfupi uliopita kwa kile alichodai kuunga mkono juhudi za Mhe. John Pombe Magufuli katika kuwaletea wananchi wa Tanzania maendeleo.

Amesema hajashurutishwa na yeyote kuchukua maamuzi haya.

Marwa amewasihi wana Serengeti kumchagua wanayeona anafaa, anayeunga mkono juhudi za Mhe. Rais Magufuli katika kuleta maendeleo.

Akitangaza kujivua uanachama amesema,

Mimi Marwa Ryoba Chacha, mbunge wa jimbo la Serengeti na mwanachama wa CHADEMA, leo tarehe 27/08/2018 nimeamua kwa hiari yangu mwenyewe bila kushinikizwa na mtu yeyote kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na Chama cha Mapinduzi. Nawaomba wananchi wa Serengeti, mlinipa imani kubwa ya kuwatumikia lakini imefikia sehemu kupitia CHADEMA naona kama siwatendei haki.

Nimeamua nijivue uanachama na kujinga na chama cha mapinduzi ili kuunga mkono juhudi za maendeleo ambazo anazifanya Rais Magufuli. Niwaombe wananchi wa Serengeti, nafasi ipo kwenu chagueni mtu mnayemuona anawafaa kuwawakilisha ambaye ataungana na Rais Magufuli kuwaletea maendeleo.
Asanteni sana.


VIDEO:


 
Hiv hizo pesa za marudio ya uchaguzi haziwez kujenga hata zahanati moja? halaf na hawa ccm wawe waelewa hawawatendei haki wanachama wake walowez unakuta jitu na tamaa zake za madaraka linahamia ccm halaf likifika huko kamat kuu inalipitisha tena likagombee wakat kuna wanachama wengine huko wanafaa kugombea ingekuwa mtu kahamia halafu hapewi tena nafas ya kugombea ungeona watu kama wasingerudi walikotoka wajinga hao.

Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
 

Mbunge wa jimbo la Serengeti kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Marwa Ryoba Chacha amejivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) muda mfupi uliopita kwa kile alichodai kuunga mkono juhudi za Mhe. John Pombe Magufuli katika kuwaletea wananchi wa Tanzania maendeleo.

Amesema hajashurutishwa na yeyote kuchukua maamuzi haya.

Marwa amewasihi wana Serengeti kumchagua wanayeona anafaa, anayeunga mkono juhudi za Mhe. Rais Magufuli katika kuleta maendeleo.

Akitangaza kujivua uanachama amesema,

Mimi Marwa Ryoba Chacha, mbunge wa jimbo la Serengeti na mwanachama wa CHADEMA, leo tarehe 27/08/2018 nimeamua kwa hiari yangu mwenyewe bila kushinikizwa na mtu yeyote kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na Chama cha Mapinduzi. Nawaomba wananchi wa Serengeti, mlinipa imani kubwa ya kuwatumikia lakini imefikia sehemu kupitia CHADEMA naona kama siwatendei haki.

Nimeamua nijivue uanachama na kujinga na chama cha mapinduzi ili kuunga mkono juhudi za maendeleo ambazo anazifanya Rais Magufuli. Niwaombe wananchi wa Serengeti, nafasi ipo kwenu chagueni mtu mnayemuona anawafaa kuwawakilisha ambaye ataungana na Rais Magufuli kuwaletea maendeleo.
Asanteni sana.


VIDEO:



The only way of ensuring that those members of parliament from the opposition parties who opt to relinquish their parliamentary seats in support of the President, the President Dr Magufuli should suspend (effective the Serengeti ex MP)the habit being exercised by CCM of returning the same as contestants of the would be parliamentary election or counselor(Madiwani) and put forward members from the ruling party CCM. This will be a proof that they are not bought, they are not favored more than the part die hards - cohorts(wafia chama na wavumilivu katika chama - CCM).Who ever steps down from any political party should be put in view(KIV) keep in view for consideration in 2020 elections and not in the by elections. Tanzanians truly appreciate what the President is doing but MPs resigning and the returning of the same names for re-election is not proper, they are actually not supporting the President but are only doing that for their stomachs and not for the interest of the common man, the voter. After all CCM have the majority to pass any legislation mandatory for the betterment of the nation Tanzania. This is my advice and I believe CCM National chairman Dr Magufuli will consider my suggestion and implement it. It seems some senior party officials have got no guts of facing their chairman! Period.
 
Magufuli kama alivyojiita mwenyewe kweli ni kichaa amefikia anateka watu wamuunge mkono anaingiza umafia kwenye muhimili.mwingine wa uongozi anachokitafuta kwenye nchi hii atakipata
kamteka nani?
amesema akiwa na akili timamu..anahama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom