majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
nakubaliana na mawazo yako. Wahaya wana ubinafsi sana
siyo wahaya tu bali ni matokeo ya ubadhirifu na ubinafsi wa ccm
nakubaliana na mawazo yako. Wahaya wana ubinafsi sana
Nakubaliana na mawazo yako. Wahaya wana ubinafsi sana
Haya ndo matokeo ya kukosa ajira kutwa nzima mpo jf mnaandika upuuzi tu wa kukaririshwa na wanasiasa uchwara...
Mama tibaijuika muogope Mungu..
bill gate, Aliko dangote, na matajiti wengine wakubwa duniani ameshawai kutoa hii pesa kwa mtu binafsi?
bakhresa ameshawahi kuchangia hii hela sehem?
kama kweli rugemalira ana roho nzuri kwa nini asisomeshe watoto yatima kibao wa kwao bukoba?
kwa nini asijenge maabara za kwenye shule za kijijini kwao bukoba?
kwa nini asichangie shule ya vilema like uhuru mchanganyiko etc akachangia shule ya waziri?
kama kweli rugemalira ana roho nzuri kwa nini akumchangia sajuki na wagonjwa wengine wanaokwama kwenda matibabu india?
kwa nini rugemalira achangie shule ya tibaijuka na asichangie ujenzi wa barabara hata za kwao bukoba?
milion 1600 unasema umepewa kama mchango..
mchango milion 1600??? mama tibaijuka muogope Mungu
Mama Tibaijuka ni mwadilifu sana
Asandiiii! Thengi you! Hata mimi bushi loyaa.Haya ndo matokeo ya kukosa ajira kutwa nzima mpo jf mnaandika upuuzi tu wa kukaririshwa na wanasiasa uchwara...
Alete bank statements inayoonyesha hela yote ya escrow ilienda shule, na baada ya hapo hela yote ilienda bank M kulipia mkopo wa shule. Sio anaongea tu maneno matupu bila vielelezo. Hata hivyo tunataka hela irudi ili reculculation ifanyike kama baraza la usuluhishi ilivyoelekeza ya capacity charge halisi ijulikane.
Alipewa msaada tu hakuna haja ya kujua matumizi yake na hela ililipiwa kodi kihalali kabisa