very challenging.
Kwanza, kurithi tabia ya mzazi inategemea mahusiano yako na mzazi yalikuwaje, kama yalikuwa mazuri hata tabia zake zitakufurahisha ziwe nzuri au mbaya.
Ila kama mzazi hakuwa na maelewano na watoto, basi kila tabia yake itaonekana ina walakini
japo kwa wazazi wenye mahusiano mazuri na watoto lazima at a certain point unajikuta unawafundisha/rithisha vitabia vyako hata kama haviko sawa.
Fifty fity aisee
wapo wanaorithi regardless walikuwa wanachukia kiasi gani, wapo ambao wanakuwa the opposite.
Japo kuangukia kwenye trap ile ile ni rahisi sababu deep inside unajipa moyo kuwa japo kitabia hiki ni kibaya lakini kufanya ruksa sio 'taboo'
not necessarily iwe hivyo
wapo watoto walikuwa wanawachukia baba zao kwa ulevi
guess what....
ukubwani na wao walaja kuwa walevi mbwa kuzidi baba zao
upo utafiti ulifanyika ulionesha kuwa watoto wanaotoka
kwenye familia ambazo baba alikuwa anampiga mama
walikuja kuwa wanapiga wake zao
licha ya kuwa walipokuwa wadogo walikuwa wanachukia na kulia wakati mama zao wanapigwa
Nitarudi alfajiri with a fresh mind; by the way nyie kapo hapo juu, nini kimetokea hadi mnaanza kudig family histories?
Nitarudi alfajiri with a fresh mind; by the way nyie kapo hapo juu, nini kimetokea hadi mnaanza kudig family histories?
Nitarudi alfajiri with a fresh mind; by the way nyie kapo hapo juu, nini kimetokea hadi mnaanza kudig family histories?
Hii topic ni muhimu afu ni ngumu. Kumbuka kuna wazazi wawili in most cases; baba na mama
Napenda kuchukulia mfano wa maisha yangu kuliko kuongelea theory.
Baba yetu alikuwa ni baba ambaye hata tukikaa na ndugu zangu tunaambizana hakuna kati ya marafiki na jirani zetu aliyebahatika kuwa na baba kama baba yetu; alikuwa na kasoro zake lakini alikuwa ni baba rafiki. Ni baba ambaye tukiwa nyumbani hatuchoki kukaa pembeni yake kusikiliza story za maisha. Hakuwahi hata kumpiga mtoto kibao (kwa kumbukumbu zangu). Lakini alikuwa hachoki kutuambia tusome na kutupa mifano hai ya waliosoma maisha yao yakoje na wasiosoma maisha yao yakoje wakati mwingine alikuwa anatupa mifano ya ndugu zake wa kijijini. Ni baba aliyekuwa anaamini kwenye reinforcement na si punishment. Kwa kweli na mimi niliamua kuiga model ya baba yangu na si mama yangu kwa sababu niligundua ina work kwani wote tulisoma at least hicho ndicho kilikuwa kilio cha baba.
Mama ni quit opposite. Kwanza alikuwa hana muda na mtoto; the only memory that we have of our mother ni kichapo. Kwa kweli tulipokuwa wadogo siyo siri wote tulikuwa TUNAMCHUKIA mama. Tumeshamsamehe baada ya kukua. Ni mama ambaye hakuna mtoto alikuwa anataka kukaa karibu yake. Maana anaweza kukutuma umletee maji ukajichanganya ukaleta juice ukala kibao cha nguvu. Na si muongeaji; na wala haongei mara mbili. Uwa tunakaa na ndugu zangu na kuangalia mchango wa mama kwenye malezi yetu hatuuoni kwani tulikuwa distant. Lakini tulichokuja ku conclude ni kuwa mama alilelewa maisha yake yote na mama wa kambo. Hivyo hajuhi kupenda kwa sababu hakuwahi kupendwa.
Wakati mwingine baba na mama walikuwa wanatofautiana hasa mama akiwa anatuchapa baba akiwepo. Na mama alikuwa ana m criticise baba kwa kutulea KIDHUNGU; anamwambia watoto wa kiswahili hawalelewi kwa vitabu. Maana baba alikuwa na library ya vitabu vy malezi ya watoto na anajua vizuri saikolojia ya watoto kwani anapenda sana kusoma.
Mimi wanangu sitaki kuwachapa na sipendi hata mtu mwingine afanye hivyo. Kumchapa mtoto karne hii ya 21 nachukulia kama ni uvivu wa kulea. Mtoto akikosea inabidi udadisi ni kwa nini anafanya anavyfanya kwani kupiga hakusaidii. Baba yetu hata maswala ya ma boyfriend nilikuwa makini kwa kuwa nilijua baba yangu atakufa akisikia nina ujauzito; nilijua hatanipiga ila nitamfanya afe kwa BP na nilivyokuwa nampenda nilikuwa na behave ili asiwe disappointed kwani nilijua ana believe so much in me.
Mi ndio maana kuna siku niliwambia watu humu mwanangu namlea kwa kumsifia sana pale anapofanya vizuri na kumwambia he is better than that anapochemsha watu wakaja juu eti mtoto wa kiafrika sifa zitamharibu; lakini mimi nimelelwa kwa sifa na zili work
huwezi amini watoto wa siku hizi wanakuchallenge na kukuambia usoni, sikwenda kuabudu kwa muda kama wa miezi mitatu, nilichoambia na mtoto sitakaa nisahau,he went further kuandika text kwa grannies wake, sasa kama anaweza fanya hivyo sidhani kama ataweza kumezea mapungufu mengine yanayomkwaza, nahisi mimi pia sina uvumilivu na wazeewangu
Huyu jamaa jembe bwana mpaka kaamua kutoa haya mawe kuna kitu ameona.so sio kitu maswali kwani ukijua kuuliza ujue pia na majibu.unajua inabidi ttafakari kwa kina sana tabia za wazazi wetu.ze problemu iz zat huyu jamaa hakuhusisha wasio na wazazi mimi nikiwa mmoja wao kwa hiyo sitoweza kujibu kwa kuwa sina ushahidi mkubwa na bado sijaoa.take it easy!