Write your reply. Hujatoa ushauri, bali umetoa ukosoaji usio na mantiki.
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ametoa taarifa ya utendaji wa Serikali kwa siku 78 za Rais Samia Suluhu ofisini-Ikulu. Pamoja na mambo mengi mazuri, taarifa hiyo ina mapungufu kadhaa kwa maoni yangu, kama ifuatavyo:
Imeandikwa wapi kwamba ni lazima kutoa ushauri?Write your reply. Hujatoa ushauri, bali umetoa ukosoaji usio na mantiki.
Hivyo!Yesu naye akamwambia nenda kavue samaki na mtoe shekeli ulipe kodi kwa ajili yako Petro na mimi pia !
hapa umepatia kabisa; linapokuja suala la ulipaji kodi uhusiano kati ya serikali na mlipa kodi huwa na wa kimabavu, na hiyo ndiyo nature ya uhusiano wenyewe. Mwulize Wesley Snipes, Lauryn Hill, james Brown na cerebrities wengine waliokiuka uhusiano huo baina yao na serikali wakuambie ni nini kilichowapta. Sasa hi Rais wa zamani wa marekani Donald Trump yuko kwenye kiti cha moto kwa sababu ya kushukiwa kuvunja uhusiano huo unaohusu kodi, ni swala la muda tu ataweza kuwaunga mkono akina wesley Snipes.2. Kodi na Mapato
Taarifa ya Msemaji Mkuu wa Serikali inasisitiza kuhusu uwiano wa makusanyo ya kodi kabla ya March na baada. Lakini ukweli takwimu zinaonesha tofauti kati ya wakati wa ubabe na wakati wa lipa kwa hiari. Mtu anayelenga kukusanya 1.99 trion akakusanya 1.67 sawa na 84.1% (March) hawezi kulingana na mtu aliyelenga kukusanya 1.61 trion halafu akakusanya 1.34 trion sawa na 83.2 (April). Tofauti ya malengo na makusanyo ni kubwa, deficit hii ikitokea kila mwezi kwa mwaka mzima tumepoteza pesa nyingi.
Ushauri: Hakuna kodi inayokusanywa kwa hiari Duniani kote. Ulipe kwa hiari usalimike au usilipe ufungwe na kufilisiwa (ubabe). Ni principle!
huwezi jitegemea kama huzalishi, huna viwanda, huna bidhaa za kuuza nje, hiyo sahau, Kenya bajeti yao inajitegemea lakipn ni mabingwa wa kukopaHujasoma vizuri kwani kwenye uzi huo kuna hoja na ushauri wa kila lililochunguzwa!! Nakubaliana nawe kwa mara 100% kuwa muelekeo wa kutaka kuijenga nchi kwa kutegemea wajomba kutoka nje kutaweka uhuru wa nchi hatarini. Nchi ilikuwa inasisitiza kutumia rasilimali mali zetu vizuri na kutoka kwenye kutegemea madeni ya benki ya Dunia na IMF; lakini sasa inaelekea msimamo ule umeanza kuyumba na kuendekeza mikopo toka nje kwa maendeleo ya nchi. Tusipokuwa waangalifu muda si mrefu tunaweza kujikuta tunaomba misaada toka nje kulipa mishahara ya wafanyakazi wetu!!!!
huwezi jitegemea kama huzalishi, huna viwanda, huna bidhaa za kuuza nje, hiyo sahau, Kenya bajeti yao inajitegemea lakipn ni mabingwa wa kukopa
Mkuu, huo WAJIBU ndo LAZIMA yenyewe kama vile mfanyakazi wa serikali anavolipa PAYE.Hakuna Kodi ya kulazimishwa, ni wajibu wa kila mfanyabiashara kulipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yake, usipotii sheria lazima nguvu itumike, Serikali isiyokusanya kodi ni serikali mfu na hakuna mfanyabiashara anayelipa kodi kwa kubebembelezwa.
Kiukweli baadhi ya mambo ambayo Raisi wetu Mamá SSH hatakiwi kurudi nyuma basi ni hili la kodi
Hakuna nchi duniani ambapo mfanyabiashara anabembelezwa kulipa kodi
Tumeona Spain kwa watu mashuhuri kama wachezaji Messi na Ronaldo kwa nyakati tofauti walishafunguliwa mashtaka ya ukwepaji kodi na mamlaka za Serikali ya Spain
Sasa how come kwa Taifa letu ambalo linataka kujitegemea eti tuanze kutegemea kubembelezana kulipa kodi na wakati huo huo tukizidi kujiingiza kwenye Mtego wa utegemezi wa kimasaada na mikopo kutoka nje ktk budget ya nchi.!???
Kwanini wafanyakazi nchini wanalipa kodi (PAYE) kwa mujibu wa sheria lakini upande wa wafanyabiashara wabembelezwe!??.. Iwapi fairness hapo!??
Mamá Samia naomba usiingie ktk huu Mtego, nchi za ulaya na USA zimeendelea kwa kuweka mifumo sahihi ya ukusanyaji kodi na kuweka adhabu kali kwa wale wakwepao kodi kwani KODI NDIO MSINGI WA MAENDELEO
huwezi jitegemea kama huzalishi, huna viwanda, huna bidhaa za kuuza nje, hiyo sahau, Kenya bajeti yao inajitegemea lakipn ni mabingwa wa kukopa
Acha kupotosha umma bure, Mhe Raisi Samia Suluhu Hassan a.k.a Mama SASHA hajasema tubembeleze walipa kodi la hasa, amesema sheria za kulipa kodi zipo zitumike vizuri. Hii tabia ya kutumia vikosi kazi sio kwa mujibu wa sheria za kulipa kodi kwa mujibu wa katiba, sheria na kanuni zetu. Tatizo la watu kama wewe ni tatizo la kuibuka kwa watu wenye tabia za kikatili katika nchi yetu. Watanzania kwa hulka sio watu wenye ukatili! Umetoa mfano wa nchi ya Spain na hatua zilizochukulia kwa akina Lionel Messi au C. Ronaldo kuhusu kukwepa kodi. Kilichotumika kule ni sheria za kukwepa kodi sio kwamba walipelekewa vikosi kazi! Na hili ndilo analosisitiza Mhe Raisi Samia Suluhu Hassan a.k.a Mama SASHA. Anawahimiza TRA na taasisi zingine zinazokusanya kodi kufuata sheria zilizopo kukusanya kodi na si kwa kutumia matakwa ya mtumishi wa umma. Kwahiyo tuache kumsingizia Mhe Raisi wetu kuhusu mambo ya kiubinadamu anayosisitiza kwa watumishi wa umma kuwatendea wananchi.Kiukweli baadhi ya mambo ambayo Raisi wetu Mamá SSH hatakiwi kurudi nyuma basi ni hili la kodi
Hakuna nchi duniani ambapo mfanyabiashara anabembelezwa kulipa kodi
Tumeona Spain kwa watu mashuhuri kama wachezaji Messi na Ronaldo kwa nyakati tofauti walishafunguliwa mashtaka ya ukwepaji kodi na mamlaka za Serikali ya Spain
Sasa how come kwa Taifa letu ambalo linataka kujitegemea eti tuanze kutegemea kubembelezana kulipa kodi na wakati huo huo tukizidi kujiingiza kwenye Mtego wa utegemezi wa kimasaada na mikopo kutoka nje ktk budget ya nchi.!???
Kwanini wafanyakazi nchini wanalipa kodi (PAYE) kwa mujibu wa sheria lakini upande wa wafanyabiashara wabembelezwe!??.. Iwapi fairness hapo!??
Mamá Samia naomba usiingie ktk huu Mtego, nchi za ulaya na USA zimeendelea kwa kuweka mifumo sahihi ya ukusanyaji kodi na kuweka adhabu kali kwa wale wakwepao kodi kwani KODI NDIO MSINGI WA MAENDELEO
"samia yeye anakuja na mbinu ya kuwabembeleza walipa kodi"Magufuli anaweza kweli kua alifanya blandazi nyingi ile kwenye kodi alikua sahihi zaidi ya 95%, labda hizo 5% or less ndio hizo za uonevu na mambo kama hayo. By the way Duniani hapa hakuna fairness ya 100%, haipo.
Samia yeye anakuja na mbinu ya kuwabembeleza walipa kodi, Duniani hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi, hayupo. Ndio maana hata facebook pamoja na kua wanapata faida nyingi sana kwa mwaka lakini bado wamehamishia shughuli zao nchi za ulaya ambapo kodi iko kidogo. Hakuna mfanya biashara atakae lipa kodi kwa kubembelezwa, hayupo.
Mama yeye labda ata compasate na misaada na mikopo lakini tukumbuke pia hata hiyo misaada na mikopo ni kodi wa wanachi wa hizo nchi na hawajalipa kwa kubembelezwa. Nchi za ulaya zina sheria ngumu sana za kodi, ngumu sana. Ajabu sisi tunataka tubembelezane kisha tukaombe misaada ulaya.
Samia unadhan ana akili nzuri yule mama? Akili zKe sio nzuri , ye anataka kuongoza Tanzania kama anaongoza familia yake