Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,444
Endelea kuhisi, YM amesema hagombei tena uenyekiti!Nahisi 5-0 zitarudi kipindi hiki ...
Endelea kuhisi, YM amesema hagombei tena uenyekiti!Nahisi 5-0 zitarudi kipindi hiki ...
Halafu ndio walikuwa wanasema eti Yanga wanasajili kuwakomoa Simba,kamati ya Fundi/Usajili Simba ni magarasa tupu angalia walivyochemsha kwenye usajili kwa karibu misimu 4
Nahisi 5-0 zitarudi kipindi hiki cha Berko na Mapunda. Simba watasingizia kuwa hawa makipa ni Yanga damu, kwa kuanzia tunawashona 4-0 kwenye mechi ya 'Nani Mtani Jembe'.
Yanga imesajili vizuri miaka minne iliyopita, imepata mafanikio gani Afrika?
Endelea kuhisi, YM amesema hagombei tena uenyekiti!
Wanaweza kuwa sahihi, kwamba wamelazimika kuchemka hivi baada ya kukomolewa na Yanga. Lakini hata ingekuwa hivyo, kupotea ni wakati wa kwenda tu, iweje wapotee hata wakati wa kurudi?
mzimu wa Kaseja unatutumbukia nyongo, tumekazania makipa tu
katika vitu ambavyo mapunda amekosea maishani mwake ni kurudi tena kwenye hivi virabu vilivyomtema kuwa kaisha ,na sasa safari yake ya maisha ya soka inaelekea mwisho
Kweli kabisa mkuu, huyu jamaa KAINGIA CHOO CHA WANAWAKE tu, mie nilitegemea angeendelea kutafuta timu nyingine nje ya Tz lakini karudi na ukweli timu ya taifa ndio hachaguliwi tena maana pana mtaalamu wa misumali hapa.katika vitu ambavyo mapunda amekosea maishani mwake ni kurudi tena kwenye hivi virabu vilivyomtema kuwa kaisha ,na sasa safari yake ya maisha ya soka inaelekea mwisho
Endelea kuhisi, YM amesema hagombei tena uenyekiti!
Kwa hiyo amekata tamaa kuzirudisha 5, kama yanga walishindwa kutufunga mechi iliyopita hawatakaa watufunge 5 kwa beseni....Sasa hivi tuna beki nzuri sana, kiungo usiseme, washambuliaji wembe kocha malizieni wanazi wa yebo yebo...
Mapunda, Berko: Simba. Nao Kaseja na Okwi: Yanga. Hii ni kali, haijawahi kutokea tangu 1935. Huenda isijirudie tena hadi miaka 70 ijayo.
Hizi tetesi za OKwi ni kweli mkuu?
huyu ni ----- kweli au ndo ana malizia soka lake nini..KIPA namba moja wa Tanzania, Ivo Philip Mapunda, usiku huu amesaini Mkataba wa mwaka mmoja na nusu kujiunga na klabu ya Simba SC ya Dar es Salaam, akitokea Gor Mahia ya Kenya.
Ivo anasaini Simba SC, baada ya kungara akiwa na kikosi cha Tanzania Bara Kilimanjaro Stars katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge mwaka huu.
Mapunda, Berko: Simba. Nao Kaseja na Okwi: Yanga. Hii ni kali, haijawahi kutokea tangu 1935. Huenda isijirudie tena hadi miaka 70 ijayo.