Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
- Thread starter
- #41
changia kwa hoja bila matusi ndio nitajibu, ujuha wako ni kwamba hujui unaongea na nani humu
soma context sio maudhuiAcha Upumbavu na Ujinga! Wewe Umeichangia Nini Simba Yetu Mpaka Sasa? Yaani Ujanja Wote huo Ulikuwa Hujui Kama Tatizo Letu Kubwa Lilikuwa ni Golikipa? Wewe wa Wapi? Yaani Huoni Kweli! Ili Nijue Kuwa Wewe Kweli ni Mdau wa Mpira hebu Niambie Kabla Ya Kumsajili Berko na Mapunda Simba Ilikuwa na Matatizo ktk Idara Gani au Ipi? Acheni Ubwege Nazi Wenu!