una wazo zuuuri.............mana ukisema vyumba kwa ajili ya kulala tu haiingii akiliniHi
Naamini familia nyingi zingependa kwenda mahali ambapo ni free fro alcohol, free from uzinzi,free from kiti moto, bali kuna juice ya matunda,ugali wa dona,kuku wa kienyeji,maziwa ya mbuzi,muziki laini kwa sauti ya chini kabisa.
Bustani itakuwa na vyumba vizuri kwa bei nzuri ambayo MKESHA HOI/LAT/KAKA KIIZA wa JF anaweza kumudu bila maumivu
una wazo zuuuri.............mana ukisema vyumba kwa ajili ya kulala tu haiingii akilini
mana huwezi acha chumba nyumbani ukaenda kutafuta huko garden
ni hayo tu
nyama pori
1.Swimming pools.
Hi
Jijini Dsm kuna upungufu mkubwa wa sehemu nzuri za kupumzikia familia ( yaani mahali ambapo wewe na familia yako unaweza kwenda bila kigugumizi),mahali ambapo unaweza kuyaona mazingira yenye heshima ya Kiafrika. Naamini familia nyingi zingependa kwenda mahali ambapo ni free fro alcohol, free from uzinzi,free from kiti moto, bali kuna juice ya matunda,ugali wa dona,kuku wa kienyeji,maziwa ya mbuzi,muziki laini kwa sauti ya chini kabisa.
Bustani itakuwa na vyumba vizuri kwa bei nzuri ambayo MKESHA HOI/LAT/KAKA KIIZA wa JF anaweza kumudu bila maumivu na akatamani kurudi tena.Bustani itakuwa na mboga za majani kama mnafu na nyinginezo. Michezo ya watoto wetu itawekwa.
Nahitaji michango ya huduma gani zaidi ziwepo ili kupafanya pawe bora zaidi. Eneo lipo,linafikika kwa daladala,lina maji na ni kubwa kama eka kumi. Hili eneo sitaki kuliharibu, nataka libaki na uasili wake kwa kuitunza miti niliyo ikuta pamoja na nyasi zake. Nitaongeza miti ya matunda tu.
Good idea my brother,
vyumba safi ni muhimu sio lazima kwenda mikoani kwetu kila likizo mara nyingine tunahitaji kupumzika tu na familia zetu tatizo hoteli zilizotulia ni ghali na adimu.
mie naongezea free internet access na saluni safi ya kinamama ya kusuka kiasili kabisa sio kuweka dawa au urembo asilia mwingineo
Barikiwa
Ni vizuri pia ukawa na maonyesho ya sanaa za asili hususan kwa nyakati za jioni kama vile ngoma na sarakasi.
Dada nikushukuru sana kwa nyongeza ya maoni ktk kuboresha huduma ninayotaka kuifanya.
Asante nakuaminia najua hii ndoto itatimia tu
mkuu Malila
kuna kitu wanaita live bird dishes. ... yaani kunakuwa na jamii ya ndege (kuku,bata,kanga,bata mzinga, bata bukini) ambao wapo wanafugwa hapo, halafu mteja akifika anachagua ndege akiwa alive anachinjwa (angalizo; halal)halafu anachagua aina ya mapishi (barberque, fry ,boil etc)
very entertaining
Usisahau vinywaji vya asili tu kama Togwa n.k (Sina uhakika kama gongo nayo ni kinywaji cha asili kama nacho ni cha asili tuwekee mwanawane)
Mkuu heshima mbele kwa kunielewa,
Mtu anakuja anasema nataka kuku au bata huyu au beberu hili, chinja hivi au banika hivi, na pilipili nayo nitalima kidogo, tayari bata/kuku/mbuzi tayari nimeshawapeleka wakaanzishe kijiwe,huku najenga taratibu. Bado sijapata badizzo,Ubungo pale wameishiwa.
Kaka ni wazo zuri sana na hata ukiongezea ufundishwaji wa vitu mbalimbali kwa watoto, yaani kama vile jinsi ya kikombe kinavyotengenewza watoto wae na elimu hiyo na mengine mengi kila la kheri katika mipango yako wadau tupo tutakuunga mkono aidia kama hizo ndizo zinazotakiwa kuelimishana sio ubishani usio na kichwa wala miguu