Kazi nyepesi kama mwaka 1995CCM wana kazi mwaka huu!
Haya ni mapokezi ya mgombea Urais wa CCM ndugu Mwinyi na leo mgombea Urais wa ACT wazalendo Maalim Seif huko kisiwani pemba.
Mwenye macho haambiwi tazama.
View attachment 1534402View attachment 1534404
Kile cha kopoMaalim Seif Sharif Hamad, hajawahi kushindwa huko Unguja na Pemba. huwa wanadhurumu ndiomaana mikutano yao inachacha kama kisamvu.