1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
ajariMi anipe chance ya kuipaisha kidogo
ajariMi anipe chance ya kuipaisha kidogo
VIP kuhusu visa mkubwa
Sawa kwake lakini kunavitu vya kujiuliza na kufikiria kabla ya uamuzi.kwake
kuhusu kutupeleka wapi kuna mtu nimemjibu soma juu utaona ma flights watapanga wenyewe Kama ni 7 au 5 na wananchi tunajiandikisha wote alafu tunaanza routeAsante kwa kunisaidia kumaliza Jumatatu ya leo kwa kucheka..
Sasa ndugu embu nambie unataka ikupeleke wapi na wapi bure? Na ipige kama flights ngapi za bure ndani ya wiki moja? Na unaona huo mwanya utaupata pia?
Na mengine mengi muhimu namezea kuuliza ili utafakari mwenyewe.. kuanzia costs..
Jinsi tulivyotanguliza siasa mbele hili linawezekana kabisa subiri 2025 kipindi cha kampeni
Kapanda mpaka ndanikokupiti
nimejiuliza sana mkuu yaani toka jana ndo maana nkachukua uamuzi wa ku share idea yangu na great thinkersSawa kwake lakini kunavitu vya kujiuliza na kufikiria kabla ya uamuzi.
OK endelea kusubiri ombi lako linashughulikiwa.nimejiuliza sana mkuu yaani toka jana ndo maana nkachukua uamuzi wa ku share idea yangu na great thinkers
OK endelea kusubiri ushauri wako unashughulikiwa.
OK endelea kusubiri ombi lako linashughulikiwa.
vp tena
vile mlivyo itwa kwenda kuipokea ndege pale uwanja wa JNIA mkajazana ndo ulikuwa muda wa kuomba kupanda angalau mzunguke ule uwanja mzima, mbona mwendo kasi mlipanda bure, pale pale On the spot ungemuomba mkulu
Wala usiwe na shaka kesho naituma barua moja kwa moja ofisi ya Rais.Kama utakua na namna yeyote ya kumfikia mkuu wa nchi hii mfikishie maombi yngu
Ndege yenu wewe na nani?POLENI NA MAJUKUMU WAHESHIMIWA
kama kichwa cha habari kinavyosema jana wakati ndege yetu mpya aina ya Boeing inawasili kuna wazo lilinijia hivi kwa nini mheshimiwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanZania Dr johN pombe, magufuli asitupe wananchi wake fursa ya kupanda ndege hii kwa muda wa week moja kama ilivyokuwa kwa mwendokasi wakati zinaingia ili wananchi wake wa hali ya chini kama anavyopenda kusema tupate fursa hii adhimu kabisa KWENYE nchi yetu??
nb: najua post huku sio mahala pake
Yes ni usafiri. Lakin kumbuka ndege si usafiri wa uma.vyote c usafiri lakni
mimi na wananchi wangu akiwemo na ww piaNdege yenu wewe na nani?
Yes ni usafiri. Lakin kumbuka ndege si usafiri wa uma.