Ujinga tuuShamra shamra za mapokezi ya Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan Moshi Mjini zimepamba moto na matembezi kuelekea Uwanja wa Mashujaa yamefana
Mgombea ubunge kwa nafasi ya urais🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿😫😂Mchezo wa kuigiza
Hao ni wapumbavu wachache usi include kila mtu kwa sababu ata mm utakuwa umeniweka na mm sitakuwa kwenye huo ujingaArusha wamesema watavunja rekodi nchi nzima