Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Nape karibia Arusha tumpokee kamanda Lema
Nami namkaribisha Zitto Zuberi Kabwe katika mapokezi ya Mh. Lema!!! Usikose!! Ila nakushauri kaa kimya usiongee!!
Nape karibia Arusha tumpokee kamanda Lema
kesho ni siku ya furaha kubwa hapa arusha.
Kesho jiji la Arusha na viunga vyake litalindima baada ya mbunge wa Arusha kamanda Lema atakapowasili ndani ya jiji lake la Arusha, mapokezi yataanzia uwanja wa ndege KIA, naomba makamanda tuidhihilishie serikali ya CCM na vibaraka wake kwamba Arusha ni ngome ya ukombozi ya nchi hii.
Makamanda wa Arusha nawaomba sana msisahau kutoa mwaliko maalum kwa lile kundi/taasisi ya PM7 ili wajionee kwa macho yao namna kamanda Lema anavyopokelewa nyumbani.
Tangu habari za ushindi wa Lema zitangazwe nadhani vichwa vinawauma, hata hapa JF wametoroka hawaonekani kabisa.
Wamepewa ruksa na serikali ya gambaz?...
policcm wasije wakatuua huko kwa mahasira!
Ilitakiwa cdm waombe na kibali cha mkutano kabisa ili kumaliza kazi yote pamoja!
Naamini kuwa watu wote watapenda kumsikia Lema ANASEMAJE!
Erickb52 muulize Preta kama alimaliza mzigo wa gwanda, nahitaji pair mbili kesho bana!