Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,738
- 7,688
Ndugu Wajumbe wa Wcb mmeona balaa la mfalme huko Kigoma?
King baada ya kuujaza uwanja wa Nangwanda sasa amepeleka balaa kigoma, Mapokezi aliyoyapata unaambiwa haijawaitokea msanii akapata nyomi la watu kama la king kiba
Chibunye alikusanya Wadada wa Bongo muvu wavaa utupu ili apate nyomi la watu
King baada ya kuujaza uwanja wa Nangwanda sasa amepeleka balaa kigoma, Mapokezi aliyoyapata unaambiwa haijawaitokea msanii akapata nyomi la watu kama la king kiba
Chibunye alikusanya Wadada wa Bongo muvu wavaa utupu ili apate nyomi la watu