Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,702
- 218,230
Tuliahidi hapa kwamba tutawaletea kila kinachojili kwenye Mkakati mpya wa CHADEMA wa OPERESHENI HAKI Unaoendelea nchini kwa kishindo, na kwa vile Ahadi ni deni basi hatuna budi kuitimiza.
Katika mwendelezo huo huo tunawaletea ziara ya Mwamba Mbowe (ambaye pia ni kiongozi wa kimila wa wamasai ) Musoma Mjini .
Baadhi ya Vijana wameanza kumuita FREEMAN OLE MBOWE kutokana na kupewa Uongozi wa Wamasai huko Arusha .
Jionee Mwenyewe, siongezi chochote
Katika mwendelezo huo huo tunawaletea ziara ya Mwamba Mbowe (ambaye pia ni kiongozi wa kimila wa wamasai ) Musoma Mjini .
Baadhi ya Vijana wameanza kumuita FREEMAN OLE MBOWE kutokana na kupewa Uongozi wa Wamasai huko Arusha .
Jionee Mwenyewe, siongezi chochote