rashidforeseerer
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,000
- 439
Rais wetu wa mioyoni...tunakupena sana baba. Mungu akulinde
Rais wa wapi mkuu?
Hana ubavu huo.
Labda ni rais wa kuzimu.
Nchi gn
mkipata viti hata vi5 mwaka huu natembea kichwa chini miguu juu mpk kwa mtei
1. Tumaini la waliokosa AJIRA
2. Mwanga wa mama wajawazito
3. Nuru ing'aayo na tegemeo kwa wenye ulemavu hasa Albino
4. Mleta tumaini kwa wanaoonewa na dola
5. Mtanzania halisi aliyevaa Utanzania
6. Mtetezi wa kila aina ya ukandamizaji
7. Mchukia Ufisadi namba moja
twende na Dr slaa October 2015
Kumbe kuzimu kuna Rais? Kwaiyo Mwamedi rais wake nani wakati huu?
Kila la kheri rais mtarajiwa kipenzi cha watz
tatizo lingine ni mropokaji,hebu niambie kuna nchi gan dunian ina rais mropokaji?
Mr president
yuko na yule mungu wako aliyezaliwa kupitia ukeni
ngojeni act itawafundisha nin maana ya demokrasia
Ulitaka awe anachekacheka? Slaa tumaini lako. Weka heshima kwa Slaa
watanzania wa tengeru
ngojeni act itawafundisha nin maana ya demokrasia
kuropoka ni tofaut na kua serious.kama ni unahuzuria bar utakua unaelewa nnachomaanisha